Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Asiejua maana haambiwi maana hawa ndio wale hujitia wavutaji kumbe hawajahi alafu wakipewa wavute wanashindwa kutembea wenyewe wanaanza kulia njiani tena wahuni walivyo washenzi watu km hawa wanawavutisha mchana wa jua kali
 
Haelewi huyo mweleweshe vizuri atapigwa kitu ashindwe kunyanyuka kuna watu wanajua kupiga mkono kitu kinanyongwa ukija kuvuta unajisikia mujarabu kabisa
kina nani haoo?? Vichaa?
 
Asiejua maana haambiwi maana hawa ndio wale hujitia wavutaji kumbe hawajahi alafu wakipewa wavute wanashindwa kutembea wenyewe wanaanza kulia njiani tena wahuni walivyo washenzi watu km hawa wanawavutisha mchana wa jua kali
wewe ili ufurahi; niseme "sijavuta!" hata hvyo hoja yangu sio kuvuta ama kutokuvuta
 
ni kweli wewe ni empty, unajijuwa
Kuna wenzio walikua wanajifanya hivyo hivyo kwamba wao ni magwiji jamaa akaenda shop akanunua keki za bangi najua haujui km zipo Ila kuna keki za bangi yaan km ile unayokata ukumbini yes Ila ni bangi tupu akawapelekea awaone basi wajinga si wakala keki yote kilichofuata ilikua simulizi kuna mjinga alikua anakawaida ya kutuletea vidusko vikeki vidogo vimekaangwa na bangi (mbegu za bangi zinaswagwa zinamixiwa kwenye unga wa ngano) dusko zinakaangwa zikitoka hapo mnakula bangi
 
unavyoizungumzia bangi sasa [emoji3] "bangi" "bangi" "keki za bangi" BANGI NI MBOGA najuwa hujuwi!

endelea kuangalia movies
 
hivi unapovuta mbegu ikibasti ile paaaa!! inakuaje
 
unavyoizungumzia bangi sasa [emoji3] "bangi" "bangi" "keki za bangi" BANGI NI MBOGA najuwa hujuwi!

endelea kuangalia movies
Nyinyi ndio hua mnafirwa siku ya kwanza baada ya kuvuta bangi sababu ya usenge wa kujifanya kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…