Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hao unaosema umefanikiwa unamaanisha ulipiga kipapa au kufanikiwa kupi?
 
Unavujisha siri hakuna sababu ya kuwa na pm huna kiapo mkuu
 
wengi Huwa wanatiaga kimoyomoyo halafu wanajiaminisha kuwa wametia physically
 
Duuh aiseee[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…