Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan
Mbona kama umepanic?

Ccm bado iko Ikulu safari hii chini ya mwana mama Samia Suluhu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu yako mbelgiji ataendelea kuisikia ikulu kupitia twitter ya kigogo.
Kada mwenzako jingalao amesha nijibia tayari hapo juu!!
 
Poleni sana Mataga! Mmepoteana tangu mpendwa wenu aliye wadekeza na kuwasikiliza aondoke! Mtabakia wapweke milele! Hakuna atakaye poteza muda wake kuwa karibu tena na nyinyi.
Kwamba rais wa tz hatakuwa karibu na wanachi wake tena au una maanisha nini?

Mungu ibariki tz
Mungu mbariki rais wetu Samia
Mungu ibariki ccm
R. I. P JPM
 
Hakuna anayetutisha labda tunaogopa kivuli chetu wenyewe au nasema uongo ndugu zangu?
 
usiniweke kwenye kundi hilo kirahisi ha ha ha
THE BIG GAME IS ON...
Hakuna cha Big Game wala nini, ujinga Taifa limejifunza kuukataa haitokei tena , wazalendo wenye kuipenda Tanzania hawajawahi kulala
 
sijaelewa sisi waTZ na umasikini wetu kuna mtu yupo bize kututisha tena

Hapo ndo panashanga, unajua sijui kwa hizi sera zetu toka mwanzo za ujamaa na kufungiwa fungiwa ndani huwa tunajiona wa Tanzania labda tupo tofauti na wenzetu na tunaonewa kijicho dah

Tunaweza kuwa kweli tuna rasilimali lkn toka uhuru mpaka leo kuna mambo madogo madogo tu tungekuwa tuliisha ya maliza kwenye ngazi ya afya, elimu na miundo mbinu achia mbali demokrasia yetu ndo hata haijulikani tunavyo simamia

Ushauri wangu tuwekeze kujenga taasisi zenye mifumo imara kuliko ‘one man show’
 
Sawa kama ni hivyo tuko pamoja. Sasa tulia kwanza ndugu yangu najua uko na hisia na huzuni, usiandike ukiwa katika hali hiyo
Wewe ndio unahisi hivyo...rejea miandiko yangu humu jamvini
 
Hapo ndo panashanga, unajua sijui kwa hizi sera zetu toka mwanzo za ujamaa na kufungiwa fungiwa ndani huwa tunajiona wa Tanzania labda tupo tofauti na wenzetu na tunaonewa kijicho dah

Tunaweza kuwa kweli tuna rasilimali lkn toka uhuru mpaka leo kuna mambo madogo madogo tu tungekuwa tuliisha ya maliza kwenye ngazi ya afya, elimu na miundo mbinu achia mbali demokrasia yetu ndo hata haijulikani tunavyo simamia...
mifumo ipo na inafanya kazi...style hubadilika...sasa tutawaonesha new style...
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Imaginary enemies wanavyotengezwa halafu wanaenda kumtisha mama wa waru
 
Kuna puppets wanadhani sasa nchi itasambaratika, wasahau. Uzuri ni kuwa nchi yetu iko imara chini ya Samia. Watanzania wengi sana tupo nyuma yake mh. Rais, kwa maombi na ulinzi. RIP MAGUFULI
Msitake kumchonganisha mheshimiwa Rais Samia na wapinzani. Mwacheni afanye kazi kwa Uhuru na utashi wake pasii na kuegemea upande wowote. Watanzania tuko nyuma yake.

Siasa chafu imelifikisha taifa pabaya sana. Muda mwingine mnakumbatia mno vyama mpaka mnakuwa na itikadi za chuki dhidi ya wenzenu for no good reason.

Huyo ni Rais wa watanzania na sio wa CCM. Grow up mleta Uzi.
 
Yawezekana yupo anayeharibu kututisha na kutaka kutuondoa kwenye mpango kazi muhimu wa kuhakikisha tunakuwa huru kikwelikweli.
Ujumbe uwaendee wazalendo na mabeberu pia.kuwa TANZANIA HAIWEZI KUOGOPA KAMWE...
Walikuwa wakisuburi hotuba ya mama Samia leo na wamekuwa "disappointed" kwamba ameonyesha kutobadilisha msimamo wa serikali katika sera zake khasa hii ya UVIKO-19.

Ni mapema mno kusema zaidi labda tusikie jingine kuanzia jumatatu.
 
Mungu ibariki tz
Mungu mbariki Rais wetu Samia
Mungu ibariki ccm

R. I. P JPM

Puppets waendelee kulelewa huko waliko

Lile kundi lenu la watu wasiojulikana sasa ndio limefikia mwisho, boss yuko anatoa mrejesho wa mauaji aliyowaagiza mtekeleze. Siasa chafu sasa na uzalendo uchwara ndani ya hii miezi sita zitakuwa zimesahaulika.

Huyo mama ataanzisha kambi yake, nyie Mataga wa lake zone mbaneni mweka hazina awape chenu, maana mmiliki haifahamiki alitoa shilingi ngapi za kuulia watu na yeye ndio katangulia. Tunamshukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu na kufanya mabadiliko bila umwagaji wa damu.
 
Walikuwa wakisuburi hotuba ya mama Samia leo na wamekuwa "disappointed" kwamba ameonyesha kutobadilisha msimamo wa serikali katika sera zake khasa hii ya UVIKO-19.

Ni mapema mno kusema zaidi labda tusikie jingine kuanzia jumatatu.
Tumejipanga kusikia mengi...but our focus remain
 
Lile kundi lenu la watu wasiojulikana sasa ndio limefikia mwisho, boss yuko anatoa mrejesho wa mauaji aliyowaagiza mtekeleze. Siasa chafu sasa na uzalendo uchwara ndani ya hii miezi sita zitakuwa zimesahaulika. Huyo mama ataanzisha kambi yake, nyie Mataga wa lake zone mbaneni mweka hazina awape chenu, maana mmiliki haifahamiki alitoa shilingi ngapi za kuulia watu na yeye ndio katangulia. Tunamshukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu na kufanya mabadiliko bila umwagaji wa damu.
viwanda lazima vitajengwa ...ahadi ipo pale pale
 
Back
Top Bottom