Hata raia wanashauriwa wavae sehemu za mikusanyiko sio wakati wote, wakati huo huo wanashauriwa pia kuepuka mikusanyiko hivyo ni mda mchache sana wa kuvaa barakoa.For a short while,sio muda wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata raia wanashauriwa wavae sehemu za mikusanyiko sio wakati wote, wakati huo huo wanashauriwa pia kuepuka mikusanyiko hivyo ni mda mchache sana wa kuvaa barakoa.For a short while,sio muda wote.
Aliyeshauri hivyo ni Magu.Ila Ulaya wanashauri all the time.Ila niseme hivii,barakoa hata kwa muda mfupi ni dangerous.Kumbuka Mungu alituumba tupate hewa safi muda wote,sio intermittently.So kuvuta hewa chafu na kidogo hata kwa muda mfupi sio asili yetu,so it is hazardous.Hata raia wanashauriwa wavae sehemu za mikusanyiko sio wakati wote, wakati huo huo wanashauriwa pia kuepuka mikusanyiko hivyo ni mda mchache sana wa kuvaa barakoa.
Sasa ss hatuishi ulaya. Fuata maelekezo ya viongozi wako huku ukichanganya na za kwako.Aliyeshauri hivyo ni Magu.Ila Ulaya wanashauri all the time.Ila niseme hivii,barakoa hata kwa muda mfupi ni dangerous.Kumbuka Mungu alituumba tupate hewa safi muda wote,sio intermittently.So kuvuta hewa chafu na kidogo hata kwa muda mfupi sio asili yetu,so it is hazardous.
fake news. page yake ya twitter hajaandika kitu kama hikoZa kuambiwa Mix na zako.View attachment 1729159
Ila hizo pampers mdomoni ni ishara na ujumbe tosha.fake news. page yake ya twitter hajaandika kitu kama hiko
Samia awe yeye asilimia 100.Kama anataka kweli kufanikiwa, basi ajitenge kwa 100% na sera zote za mtangulizi wake.
Wizara ya Afya afute kazi viongozi wote haraka sanaKama anataka kweli kufanikiwa, basi ajitenge kwa 100% na sera zote za mtangulizi wake.
Lakini walikuwa wanafuata maelekezo ya mteuzi wao aliyepita, kuwafuta ni kuwaonea sana. Kikubwa, ni kuwarejesha kwenye reli (taaluma zao) ini Watanzania waponywe na hili gonjwaWizara ya Afya afute kazi viongozi wote haraka sn
Mbona Ndugulile alikataa kufuata huo upuuzi? wameua watanzania wangapi kwa maigizo yao ya kijinga?Lakini walikuwa wanafuata maelekezo ya mteuzi wao aliyepita, kuwafuta ni kuwaonea sana. Kikubwa, ni kuwarejesha kwenye reli (taaluma zao) ini Watanzania waponywe na hili gonjwa
Kwahiyo mlikuwa mnamdanganya hayati rais Magufuli??Kumbe wewe unasubiri kuambiwa namna ya kulinda uhai wako?
Umemsahau kumtaja Naibu Waziri wa afya,RC mbeya, waziri wa elimu , Meya moshi manispaa aliwavua barakoa madiwani, waziri mkuu kwà kulidanganya Taifa kuwa Rais anachapa kazi kumbe Rais anapumulia mashineMuhimu amfute kazi kwanza Waziri wa Afya, KM Afya na Mganga mkuu wa serikali
Wote hao wapuuzi wafutwe kazi haraka snUmemsahau kumtajwa Naibu Waziri wa afya,RC mbeya, waziri wa elimu , Meya moshi manispaa aliwavua barakoa madiwani, waziri mkuu kwà kulidanganya Taifa kuwa Rais anachapa kazi kumbe Rais anapumulia mashine
Uko sahihi, shida kubwa pia ni NJAA.Mbona Ndugulile alikataa kufuata huo upuuzi? wameua watanzania wangapi kwa maigizo yao ya kijinga?