Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan
For a short while,sio muda wote.
Hata raia wanashauriwa wavae sehemu za mikusanyiko sio wakati wote, wakati huo huo wanashauriwa pia kuepuka mikusanyiko hivyo ni mda mchache sana wa kuvaa barakoa.
 
Namuombea Mama Samia asije akamwaga DAMU za Watanzania.

Namuomba Mungu amuepushe Mama Samia na tabia za Ukatili, Ubaguzi, na Ulevi wa madaraka.
 
Hata raia wanashauriwa wavae sehemu za mikusanyiko sio wakati wote, wakati huo huo wanashauriwa pia kuepuka mikusanyiko hivyo ni mda mchache sana wa kuvaa barakoa.
Aliyeshauri hivyo ni Magu.Ila Ulaya wanashauri all the time.Ila niseme hivii,barakoa hata kwa muda mfupi ni dangerous.Kumbuka Mungu alituumba tupate hewa safi muda wote,sio intermittently.So kuvuta hewa chafu na kidogo hata kwa muda mfupi sio asili yetu,so it is hazardous.
 
Aliyeshauri hivyo ni Magu.Ila Ulaya wanashauri all the time.Ila niseme hivii,barakoa hata kwa muda mfupi ni dangerous.Kumbuka Mungu alituumba tupate hewa safi muda wote,sio intermittently.So kuvuta hewa chafu na kidogo hata kwa muda mfupi sio asili yetu,so it is hazardous.
Sasa ss hatuishi ulaya. Fuata maelekezo ya viongozi wako huku ukichanganya na za kwako.
 
Je, tuuchukulie Serious Ugonjwa wa Corona au bado tuamini ni vita vya kiuchumi? Na barakoa zao tuachane nazo sababu zina virus? Je, viongozi waendelee kutokuvaa Barakoa katika makusanyiko?

Suala la Chanjo unalionaje Madam? Tujichanje tu sisi wenyewe kwa chale zetu na kujifukiza au Serikali yetu itaangalia katika zile chanjo ipi inafaa kutumiwa nasi?

Tuna maswali mengi sana Madam ambayo tunatamani sana kupata majibu toka kwako. Lakini pia je, tuanze na wewe kukutungia nyimbo za sifa na mapambio au hupendelei hizo? Maana si kazi kubwa, zipo nyingi tu.
 
Wizara ya Afya afute kazi viongozi wote haraka sn
Lakini walikuwa wanafuata maelekezo ya mteuzi wao aliyepita, kuwafuta ni kuwaonea sana. Kikubwa, ni kuwarejesha kwenye reli (taaluma zao) ini Watanzania waponywe na hili gonjwa
 
Lakini walikuwa wanafuata maelekezo ya mteuzi wao aliyepita, kuwafuta ni kuwaonea sana. Kikubwa, ni kuwarejesha kwenye reli (taaluma zao) ini Watanzania waponywe na hili gonjwa
Mbona Ndugulile alikataa kufuata huo upuuzi? wameua watanzania wangapi kwa maigizo yao ya kijinga?
 
Muhimu amfute kazi kwanza Waziri wa Afya, KM Afya na Mganga mkuu wa serikali
Umemsahau kumtaja Naibu Waziri wa afya,RC mbeya, waziri wa elimu , Meya moshi manispaa aliwavua barakoa madiwani, waziri mkuu kwà kulidanganya Taifa kuwa Rais anachapa kazi kumbe Rais anapumulia mashine
 
Anatakiwa akisha apa tuu afuate tahadhari zote kama WHO inavyo shauri.

Pia avunje ule mtandao wa JPM kida Biswalo, Dotyo, na wapiga deal wote wa huyo mwenda zake awaondoe asap. Kuna huyonalie apa juzi kuwa balozi na CS amesha anza kuwa na kashfa hata kufaa.

Piga chini mama. Unda safu yako ya wacha Mungu. Achia wote walioko magereza kwa uonevu. Tangaza mshikamano kama Taifa walio kimbia warudi. Wafutie kesi zao waanze kujenga Taifa.
 
Umemsahau kumtajwa Naibu Waziri wa afya,RC mbeya, waziri wa elimu , Meya moshi manispaa aliwavua barakoa madiwani, waziri mkuu kwà kulidanganya Taifa kuwa Rais anachapa kazi kumbe Rais anapumulia mashine
Wote hao wapuuzi wafutwe kazi haraka sn
 
Back
Top Bottom