‘Tuma kwa namba hii’ wapatiwa muarubaini, mwisho wao umefika

Waweke tuu mfumo wa kuhakiki line za simu Kila baada ya miezi mitatu,kama line yako Ina issue wakudake moja kwa moja
 
Mfano mtu akifa Huwa anaondoka vipi kwenye data base ,ni nani anamfuta kwenye system?
 
Huyo ana uelewa mdogo Sana kwenye masuala haya aliyoleta hapa.

Utapeli wa "Phone Spoofing" ni janga kubwa sana kwa hapa Tanzania. Watu wamekuwa wakighushi Namba za simu za Watu wengine na kisha wanatuma meseji feki za kutaka kuwatapeli watu fedha. Mleta mada hajui kuhusu suala hili.
 
Tatizo sio kwa watu tatizo liko kwa serikali. Serikali ya Tanzania kuanzia kipindi cha Magufuli mpaka sasa utapeli umekuwa mwingi sana.
Wanaokopesha mikopo feki zaidi ya mia
Wanaotoa ajira fake zaidi ya mia
Utapeli ni biashara inayolipa sana Tanzania
Police na mahakama ni miongoni mwa taasisi za umma zenye watumishi wanaolipwa pesa ndogo sana.
Tapeli mmoja alifanya attempt ya kunitapeli nikamwambia nitakufunga akaniambia tunashikwa kila siku tunatoa pesa tunaachiwa.
Mahakamani tunatoa pesa kesi inapotea.
Akasema kuwa wao (matapeli) wana pesa.
Ungetoa mwarobaini wa kudhibiti wizi wa dawa kwenye hospital za umma, wizi wa fedha kwenye miradi ya umma , ungekemea pia tabia za viongozi kuchukua check za misaada na kugeanya pesa.
Kuna workmate wangu hapa job account yake ndani ya wiki 2 mafisadi wameitumia kupitishia karibu bilion . Yeye anapata jumbe tu pesa imeingia, pesa imetoka
 
Sasa ukibadilisha fingerprint yako si itakataa kusomana na ile iliyopo NIDA? Utasajili vipi laini sasa?
 
Kwa kutumia kanuni hii mpya, hayo yote yatakomeshwa!
 
Hakuna uhuru wowote wa mawasialiano unaobanwa kwa mtu kusajilishwa laini moja kwa siku…, kwani ukisajili leo laini moja, halafu kesho nyingine kwa ajili ya usalama wako, kuna tatizo gani?
 
Akili za hovyo hizi. Kama namba inasajiliwa kwa nida na wanashindwa kuwapata wahusika wataweza lipi?
Huwa wanashindwa kuwapata wagusika sababu watu husajilishwa laini za ziada bila wao kujua, hivyo zikifanya utapeli hiwezi kujua ni nani kafanya. Ila kwa kanuni hii mpya hili litafika mwisho!
 
Napenda kukwambia tu,uhalifu hauwezi kuisha hata uweke sheria kutoka china au north korea za kupiga au kuchinja hadharani.

Hata ukipiga marufuku kusajili mwisho line moja tu watu watapigwa kama kawaida...wahalifu "wanabinwu mbwinu" mpya kila siku.
 
Kuna kitu natamani kuandika kuishauri serikali yangu juu ya hili jambo Nina njia ya kudhibiti.
Hila ni maelezo marefu sana yanaitaji kufungulia thread kabisa nikitulia najua inakuwaje mana nishawai piga u _freelancer najua vijana wanafanyaje kupiga mshindo wa camishen na matobo ya mitandao ya simu yanavyowapa mianya vijana.
 
Hakuna uhuru wowote wa mawasialiano unaobanwa kwa mtu kusajilishwa laini moja kwa siku…, kwani ukisajili leo laini moja, halafu kesho nyingine kwa ajili ya usalama wako, kuna tatizo gani?
Usivyovijua kubali kushindwa, hujui unachoongelea kwa misingi ya kanuni za haki za kiraia. Na ndio sababu unabadilika badilika umeanza na mwezi, nikakupa scenario ya mwaka ama miaka kumi, umerudi na siku.
 
Naungana na mtoa hoja💯 Kwa maboresho ya hoja napendekeza.
Iwe marufuku kuwa na lakini zaidi ya Moja Kwa mtandao Mmoja ikilazimika Kwa matumizi ya data hizi laini zisirusiwe kupiga simu au kutuma message (kampuni au wafanya biashara wanaweza kupewa utaratibu maalumu kanuni inaweza bana biashara kirahisi kama zitatukuka siyo.

Iwe ni wajibu wa msajiri kutunza viambatanisho vya msajiriwa, lengo ni kuwasumbua Hawa mawakala wezi wanaowasajiri vibaka wenzao. Ikijulikana tu namba iliyofanya utapeli ilisajiriwa kwako you are in for it.

TCRA Kwa sababu wanauwezo kusoma message zetu wakipenda, na Siku hizi watu mambo yao ya Siri hawatumii message bali Whatsapp na Telegram basi waweke system inayo chakata kila msg taking advantage ya AI aka Akili Mnemba(yule robot wa Nape sijui anaitwa nani) ndio sehemu zake Sasa hizi itumike to analyze and block the numbers with fraudulent contents/intention. Same hiyo number ya nida inakuwa shared Kwa taasisi nyingine zinaiblock kwenye mitandao yote ya simu, mabank, bima ya afya, leseni, taasisi za elimu, kote huko anapigwa pini. Baada ya hapo watapungua na kuisha.

Pia iwe agenda kwenye mkutano ya wanasiasa hasa tupoelekea uchaguzi mkuu kutoa elimu ya kuzuia na kuzibiti utapeli wa mtandao.
 
Napenda kukwambia tu,uhalifu hauwezi kuisha hata uweke sheria kutoka china au north korea za kupiga au kuchinja hadharani.

Hata ukipiga marufuku kusajili mwisho line moja tu watu watapigwa kama kawaida...wahalifu "wanabinwu mbwinu" mpya kila siku.
Sawa, wacha wabuni mbinu mpya. Ila kwa mbinu za sasa, huu ndio muarobaini.
 
Usivyovijua kubali kushindwa, hujui unachoongelea kwa misingi ya kanuni za haki za kiraia. Na ndio sababu unabadilika badilika umeanza na mwezi, nikakupa scenario ya mwaka ama miaka kumi, umerudi na siku.
Nilisema toka awali, mwezi ni extreme case niliyotolea mfano, na nikasema hata ikawa laini moja kwa siku bado ni sawa tu, sababu hataweza kukusajilisha laini za ziada bila wewe kujua..

Sasa kuna tatizo au ubaya gani mtu akasajili laini moja kwa siku?
 
Kubabake namaliza kusoma nyuzi..tu Kuna huyu fala nae kajileta wemtoa Uzi mchawi nini..
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-27-14-24-14-04.png
    159.9 KB · Views: 2
Exactly 💯
 
Kwanini usiangalie laini zako ulizosajili kupitia *106# ?

Maana kama kuna number ambayo huitambui na inaonekana umeisajili unaifunga ili isitumike kwenye utapeli.
Sasa mpka uwe mtu wa kufatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…