Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
roho imeniuma sana mapenzi gan haya mpaka nikukumbushe? hivi niko moyoni mwako kweli? leo hujabeti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
roho imeniuma sana mapenzi gan haya mpaka nikukumbushe? hivi niko moyoni mwako kweli? leo hujabeti?
amen namimi ndo najitahidi niwe na hizo tabia nizishike kwerikweri...🤣kama hivyo sawa.. Awe na tabia kama zako
Hahahaaa! Eti mzee said nae unampendaHERI YA SIKUKUU YA KRISMAS WADAU,
Uzi huu ni wa kutuma salamu za krismas kwa Wadau wawili hapa jamvini, haijalishi dini, dhehebu, wala kabila lake...
Malizia na ujumbe "Nampenda Sana"
Mimi naanza kutuma salamu kwa Mtu wangu wa karibu Heaven Sent pamoja na Mohamed Said
Ujumbe : Nawapenda sana
😃😃😃amen namimi ndo najitahidi niwe na hizo tabia nizishike kwerikweri...🤣
nilikua naumwa kipenzi changu..roho imeniuma sana mapenzi gan haya mpaka nikukumbushe? hivi niko moyoni mwako kweli? leo hujabeti?
Heri na kwako pia boo 😍😍Dr Lizzy binti kiziwi To yeye Shadeeya Evelyn Salt Maxence Melo Mshana Jr kiwatengu mzabzab na wengineo wote jf muwe na sikukuu njema ya Christmas
Salamu zangu zifike kwa;
Kiranga
Kaka mwakani tuanzishe podcast tuwalete watu kwenye nuru.
Robert Heriel Mtibeli
Kaka nakukubali sana taikon wa fasihi.
DR Mambo Jambo
Doctor by professional nakukubali sana kwa marifa uliyonayo.
,💕Heri na kwako pia boo 😍😍
Kwani ule uzi wa umbea wa usiku uko wap umefutwa au?Best 🤣🤣🤣🤣
Thank you babuu Dr hyperkid .. unapendwa sana na mie
Wameweka Misikitini mauaDAaah nimecheka sana🤣🤣.
Hawa watu wanaleta ukorofi.
Mkuu hii ni kweli? Au watakuwa wame edit tu kufurahisha watu?Wameweka Misikitini maua View attachment 2852522
Duh!! Sijaelewa BTW merry Xmas Shaddyacheni kumsema dada wawatu japo kweli maisha magumuu