Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii 5 hapo mbele ndio niniHizi ndio jezi za kwenu ni Mashati ya batiki ya kwaya.View attachment 3054411
Tar 8 tunawapelekea moto tu moto tu!!Ulikuwa ni wakati mzuri sana kuona milio kutoka Msimbazi. Π‘ΠΏΠΎΠΊΠΎΠΉΠ½ΠΎΠΉ Π½ΠΎΡΠΈ.
Naunga mkono hoja watapata tabu sanaTar 8 tunawapelekea moto tu moto tu!!
Tano ipi mkuu?Hii 5 hapo mbele ndio nini
Hahahahhhaa na nimepiga kweli..Makolo hawana akili timamu! Eti Dr Restart kawapigia kura Simba na Sanda zao
UmesahauTano ipi mkuu?
Nilichungulia nikaona jina lako nikasema huyu mtu ni mzee wa hovyo sanaHahahahhhaa na nimepiga kweli..
Ulitegemea nipigie batiki?
πππ wa mnyama au?Uniletee uzi mweupe huo ukija tuvae zetu sareπ
Yeah! Nataka nivae sare na weweπππ wa mnyama au?
Vincenzo Jr ubaya ubwela πππππYeah! Nataka nivae sare na wewe
Dah! Unanichongea kwa ndugu yangu vincenzorπ₯²Vincenzo Jr ubaya ubwela πππππ
Kabla ya kuchanganyikiwa kila mtanzania alikua ni simbaππDah! Unanichongea kwa ndugu yangu vincenzorπ₯²
Vincenzo Jr ubaya ubwela πππππ
Kama ubingwa wa Afrika ni makende yako sawa.Usitarajie Yanga kuwashinda Simba kwenye jambo lolote nje ya pitch iwe ni mitandaonii, iwe ni kuingia vieanjani, iwe ni manunuzi ya jezi, iwe ni muitikiio wa jambo lolote lile.
Kumbuka, Yanga ni mpaka wahamasishwe, lakini
Simba wana hamasishana.
Lijapo swala la Club Yanga husubiri maelekezo na kuhamasishwa, Wakati Simba itakuta wameshalianzisha na kutangulia. Huku wakihamasishana.
GSM angekuwa yupo Simba, naamini sasa hivi wangekuwa tayari wamebeba ubingwa wa Afrika
Mlio wafunga tano mpo nao huko chama ,mkude baleke nasikia na kibu mda wowote πππ
Jezi ni ya simba ila yanga wametoa mashati mazuri ya batikiJikite kwenye mada
'Kati ya Simba na Yanga, timu gani imetoq Jezi kali msimu huu 2024/25'