Kuliko kupoteza sadaka yangu kupeleka kanisani iliwe na mchungaji ni mara kumi nimewanunulia watoto wangu kuku jumapili wakala.
Wamefanya huo unyambisi sehemu nyingi wamewatumia hadi wasimamizi wa vituo vya kuraHizo mil 12 zimepigwa na nec wenyewe.. leo nimeokota katarasi ya kupigia kura hapa sokoni.View attachment 1616190
Mmekubaliana kukidanganya.. kisha mtajipongeza kwa kuiba kura.Mbwebwe zoote zile halafu unapata kura 1,933,271 ni fedheha na aibu kubwa.
Kiongozi hii nchi ni dhalimu sana na udhalimu hautoisha nguvu wajinga wakiendelea kuwepo inabidi siku moja waionje chunguUtasubiri sana Mkuu hana jipya huyu na sera zake MUFILISI.
Mimi maoni yangu alistahili 98%
Kiongozi hii nchi ni dhalimu sana na udhalimu hautoisha nguvu wajinga wakiendelea kuwepo inabidi siku moja waionje chungu
Heshimuni uamuzi wa WANANCHI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wananchi wameamua... wa mitandaoni na hao ndugu zenu..hongera kwenu kwa kura zenu hizo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magufuli [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
Wapiga kura wa tobo hao, mwenyewe alitegemea ushindi eti...Wasengetangaza kabisa.Jocake kafurahi huyo
Watanzania wamewakataa, hata mkitafuta visingizio vinakuwa havina ladha. Na hawata ingia barabarani kumpambania Bwege aliye pata kura 1M.
Sasa akaedit katiba awe Rais wa Maisha, maana ndio kilich
Mkuu ni ku amend siyo ku edit katibaSasa akaedit katiba awe Rais wa Maisha, maana ndio kilichobakia
Hata mkisema haiondoi ukweli wizi wa kura umefanyika na ushaidi umepatikana. Ila kwa jinsi mlivyoiba kishamba mlitakiwa mpate 99%Ndio maana sisi tunasema hakuiba😐😐😐😐
Umpende, Umpende haikusaidii kitu. Watanzania wamechagua maendeleo, sio ushabiki au huruma za chama.Magu tunasubiri maajabu yajayo yanafurahisha SIKUPENDI ILA LET ME SEE UTAFANYA NINI
Maadam upo nchini, ni Rais wako penda usipende.
Mkuu! Kilichoongeza idadi hapo angalau kufikia hiyo milioni 12 ni kura za maruhani,vinginevyo hata kura milioni tano zisingefika. Ule msemo wa kuwa uyaone ndiyo nimeushuhudia katika uchaguzi huu.Ina maana zaidi ya wapigakura million 14 waliojiandikisha hawakupiga kura haya ni zaidi ya maigizo ya Tom & Jerry.
View attachment 1616179
Uzushi mtupu.Mmekubaliana kukidanganya.. kisha mtajipongeza kwa kuiba kura.
Karatasi za kura hadi zimebaki kitaa tunafungia maandazi.View attachment 1616191
Taratibu waonee huruma kadaha ha haaaaaaaaa
kachukue kitambulisho cha elfu 20 ufanye kazi.. ule wizi na kudokoa pesa za wananchi.. msahau... eeeeh...
[emoji172] [emoji169]
Mnafarijiana upuuzi. Jengeni chama otherwise pale bungeni mtapaona kituo cha polisi.Kabisa Mkuu
Mkuu nikuulize kitu. Hivi zile kura fake hukuziona? Na kama uliziona kwa nini unaandika ujinga? Kama hukuziona basi wewe ni taahira.Mbwebwe zoote zile halafu unapata kura 1,933,271 ni fedheha na aibu kubwa.