Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Pamoja na kujenga maflyover bado mnaogopa sanduku la kura😁😁😁😁😁😁😁🐭🐭!!!
Jaribuni aenguliwe muone kifuatacho,mtajuta kushabikia upumbavu!
Lakini si mnakumbuka jamaa HAJARIBIWI?
Natamani niwaone mkitoka kwenye keyboard kwenda kukinukisha.
 
Mkuu haujui kusoma? Amekueleza kwenye ratiba CHADEMA walipaswa kutangulia kuwasilisha fomu kabla ya CUF.Lakini mpaka sasa CHADEMA wamewekwa kando na CUF wameshakabidhi fumu zao.
Form yao hakuwa imekamilika thus why sio kulalamika tuu
 
Ulitaka kikae wapi?.
 
Huu ucheleweshaji siyo bure. Kuna mpango muovu unaendelea. Ndiyo maana wanamuweka mwisho ..... Sitashangaa kusikia POLICCM wanaanza kusogezwa kwenye viwanja vya NEC .... No wonder hata kwenye Biblia akina Yohana hawakupewi vyeo vya juu. Kwa kawaida ni wasadizi wa wengine!!
 
Duuh😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…