Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Kuna nini? Tupeni basi updates tujue kinachoendelea.Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form
UPDATE:-
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
😂😂Daaa
Nimehisi tumbo kuvurugika
Jamaniii
Hiko chama hakipo Tanzani.UDPD
Hivyo viwili ni kuwa hawajafika NEC yani wameingia mitini. Bado vyama vinne ambavyo vipo ndaniKakudanganya nani fuatilia LIVE TBC..wamesema bado viwili tuu!! CHADEMA HAIPO
Wasije wakamtoa tu hapo usiku manake ukitaka kustaajabu ndio hukuSasa ni Lissu anaingia
Aise huyu Jane lowasaMkuu nipe connection za huyu manzi nile nae sahani moja.
Kwa maelezo yao sio kwamba ndio bado!? Kuwapa nafasi za kugombea!?Hivyo viwili ni kuwa hawajafika NEC yani wameingia mitini. Bado vyama vinne ambavyo vipo ndani
Anasemaje mkuu huyo mamaNendeni TBC LIVE msikie hizo kejeli za MWANAMAMA[emoji23][emoji23]
Tunataka tumwonyeshe kuwa nchi hii inawenyewe!! Sasa ameshindwa tu hata kujaza fomu.
Hivi akikatwa kuna mtu wa kuinua mdomo, au tutainua midomo kwenye keybord na kuandamana humu humu?
wewe unaonaje mkuuHivi akikatwa kuna mtu wa kuinua mdomo, au tutainua midomo kwenye keybord na kuandamana humu humu?