Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kesharudisha, una jingine.?
Kama Membe karudisha fomu Sina shida Hata wampitishe Tundu Lisu kugombea Zanzibar Lisu hapati kura kigoma na popote walipo wapemba na waislamu Tanzania bara na visiwani hapati kura
 
Screenshot_2020-08-25-16-01-00-59.png
 
Hizo fomu za Chadema muda wote huo wanakagua kitu gani, wanalazimisha kutafuta makosa au kitu gani?
 
Kama Membe karudisha fomu Sina shida Hata wampitishe Tundu Lisu kugombea Zanzibar Lisu hapati kura kigoma na popote walipo wapemba na waislamu Tanzania bara na visiwani hapati kura

Kwani akipata kura nyingi bila zanzibar katiba inakata kuwa rais kwenye uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi. Uwe unasoma na katiba pamoja na sheria badala ya kusema kila unachowaza.
 
Back
Top Bottom