Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kwa maelezo yao sio kwamba ndio bado!? Kuwapa nafasi za kugombea!?
Huyo mama kaanza kuporomosha mawe hapo NEC
Vyama viwili vimeingia mitini bado vinne na anayefuata sasa ni Lissu
 
Kesharudisha, una jingine.?
Kama Membe karudisha fomu Sina shida Hata wampitishe Tundu Lisu kugombea Zanzibar Lisu hapati kura kigoma na popote walipo wapemba na waislamu Tanzania bara na visiwani hapati kura
 
Kuna mpango unasukwa. Si bure!

Nahisi kuna mgombea moja ambaye atakuwa sacrificed ili Lissu asionekane amekatwa peke yake. Machale yangu yananiambia ni Rungwe!!
Saa kumi ndo hii, kwani vipi?
 
Hizo fomu za Chadema muda wote huo wanakagua kitu gani, wanalazimisha kutafuta makosa au kitu gani?
 
Kama Membe karudisha fomu Sina shida Hata wampitishe Tundu Lisu kugombea Zanzibar Lisu hapati kura kigoma na popote walipo wapemba na waislamu Tanzania bara na visiwani hapati kura

Kwani akipata kura nyingi bila zanzibar katiba inakata kuwa rais kwenye uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi. Uwe unasoma na katiba pamoja na sheria badala ya kusema kila unachowaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…