Mi Niko counter tangu saa 1 nakula biere za kujipongeza kwa kumshinda shetaniMimi sio cdm lkn nitaenda kulewa maana kuna watu wanacheza na amani yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi Niko counter tangu saa 1 nakula biere za kujipongeza kwa kumshinda shetaniMimi sio cdm lkn nitaenda kulewa maana kuna watu wanacheza na amani yetu
Finally mmeachia
Mliokatwa majina muanze kukimbizana mahakamani
Hakuna mgombea aliyepita bila kupingwa ni udwazi udikteta utumwa period!
Nyie na nani? Mimi sina upande ila najaribu kukuelewesha. Huwezi sema mtu fulani hana ushamba huo wakati mwenye mamlaka ni tume. Kwanini umuhusishe magu?
Nisijiamini kisa nakosa nini.?Huna upande aiseee naona hujiamini kijana sijui mzee. Tume ipo huru michecheto yenu tu.
Huu uzushi, kwani hawezi kupanda gai sasa hivi na kufika Dar akawahi asubuhi mahakamani?Acha Uwongo....Lengo asiende Dar,Achelewe Kesi Kisutu...?Mipango tuu?
Mtaendelea kubadili CD kila siku!Hata akipitishwa awezi kushinda
CCM wenyewe hawamtaki huyu muuaji, mtekaji, wa ndugu zetu. Usibabaishwe na hawa watetezi wanaoshinda humu JF. Hawa wa humu JF ni vijana wasio na ajira but wamepewa ajira isiyo rasmi Lumumba.
[/
Mmmmmh..
Mbona wewe ni Interahamwe hatusemi??...Jiandaeni ki-saikolojia mimi nipo gado na kesho saa 9:00 mchana naweka pingamizi kwa nini raia wa Belgium awe kwenye sanduku la kura? Patamu hapo!
[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1417]