Nadhani walikua wanasoma upepo na kwenye mjadala wa maagizo ya meco wamekubaliana kua wao wananawa wakitaka wamfanyie rafu huko mbele..... 🤔🤔Walikuwa wanachezea shilingi Chooni hawajui hasira za wananchi maana hata wana CCM wana hasira balaa
Mmefurukata weee mwisho wa siku tumewabaninisha kwenye kona ya kitanda.Afadhali jina limepitishwa. Tulikuwa tumechoka na kelele za nyumbu. Sasa karibuni kwenye uwanja tuliouzoea.
Tuwapelekee magodoroPopote mlipo, Huu ni ushindi lakini nafsi haina Amani nyie kusafiri usiku huu. Tunawapenda sana, tumeelewa kuwa mnafanya siasa katika mazingira magumu sana. Michezo yao ishajulikana, wao UTU, UBINADAMU hawana, Wao wanatanguliza masilahi yao binafsi mbele.
Nashuhudiwa msitembee umbali mrefu usiku huu, Tunawaombea sana tena sana.
Naomba Moderator msiuufute uzi huu, Mhimu sana kuhabarishana hata kwa haraka namna hii.
Usambaze ujumbe huu uwafikie akina @hildanewton na wengiwo wote tunaowapenda.
AhsanteniView attachment 1547958View attachment 1547961
Wewe u mzoefu wa kutanua/kupanua goli.Hata akipitishwa awezi kushinda
Nisijiamini kisa nakosa nini.?
Nimeshakwambia sina upande ila huu mchezo unapendeza zaidi ukiwa fair...
Sisi washangiliaji (sio mashabiki) ndio tunaenjoy zaidi. Lakini usipokua fair haina tofauti na vurugu
Kitendo cha Tundu lisu kucheleweshwa kuapishwa kimeleta sintofahamu kwa watu wengi sana hapa nchini na nje ya nchi.
Mimi binafsi toka saa 8 mchana nimeshindwa fanya lolote. Presha ilikuwa inapanda inashuka. Hasira nayo inapanda inashuka. Kila muda naangalia kama yajaa kaapishwa wapi.
Nimefatilia live coverage hadi TBC wanarudi studio bila Tundu lisu kutokea. Hapo ndyo main yakaanza kukata. Ningekuwa mwanamke mjamzito hakika mimba ingetoka.
Hivi sasa amani imerudi baada ya kushuhudia akitangazwa na tume ya Uchaguzi kuwa kateuliwa. Leo ningekuwa mlevi lazima ningekesha napombeka.
Vipi wewe ulikuwa katika hali gani?
njoo nisaidie nipo geto nakorofisha nikugeuze msos wakulalia
ExactlyHope wote siku ya leo imekwenda vizuri.
Sawa sawa umeshinda[emoji119]Hujiamini ndio maana unakurupuka na kupanic. Nimeshatype kuwa magu hausiki na teuzi za nec na wagombea urais acheni kumchafua kwa style ya kulalamika mmeonewa.
Hay yanafanyika kwa sheria gani, muulizeni Lissu, si ni mwanasheria, atajua ni sheria gani imetumika kumsubulisha hapo kwenye holding room! Hivi kweli anataka waingie huko kwenye kupokelewa fomu kama kuku bila utaratibu au anataka apewe kipaumbele kwa sababu gani. Mwambieni ajifunze kuwa mvumilivu. Uvumilivu ni ishara na dalili ya USTAARABU.Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form
UPDATE:-
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
UPDATE:- 9:40
Mgombea wa CCM John Pombe Magufuli hakumali nusu saa kwenye Tume na fomu zake zimepokelewa, akateuliwa na kuondoka. Sisi wengine fomu zetu zinakaguliwa tangu saa sita mchana kwa utaratibu gani wa Sheria ya Uchaguzi na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge? Upendeleo huu wa nini?
10:13
Kwa ajili ya kusimamia utaratibu wa kisheria, fomu za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA mhe. Tundu Lissu hazikupita kwa Wasimamizi wa Majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya zoezi la uhakiki. Zoezi la uhakiki ndio linaloendelea kwa sasa.
UPDATE:- 1:00 Usiku
I'm the only candidate who toured the country, met with actual voters and got their endorsement in person. All other candidates obtained their nominators from NEC registers without having to meet actual voters. Yet I'm the only candidate whose nomination is still under a cloud! - LISSU
1:03 Usiku - NEC
Mgombea mwenza wa CHADEMA, Bw. Salumu Mwalimu akishuhudia zoezi la uhakiki wa fomu za uteuzi za chama hicho. Zoezi hilo linaendelea Ofisi za Tume, Njedengwa, Jijini Dodoma.
UPDATE: 19:40hrs - LISSU APITISHWA
The deed is done!!! We’re officially nominated as Presidential and Vice-presidential candidates. Now we face anyone wishing to object to our presidential run!