Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Wakati Lissu amekomaa kushambulia beki yake majimboni imekatika na mpaka muda huu ameshapigwa 22-0.

Lissu endelea kuwekeza kwenye walinzi wanaovaa ma spotlight ya underground kichwani, hadi unashtuka hayana dili na hayamtishi yeyote utakuwa umepoteza karibu majimbo yote. Utaongozaje nchi bila wabunge, mi sielewi..
 
Tume imempa heshima sana TAL kwa kumuweka mwishoni maana kiprotacal Rais huwa wa mwisho kwenye hafla yoyote ile kwa tume bila kunua imempa heshima kubwa sana sana TL maana nchi nzima walibaki wanafuatilia uteizi wa lisu habari ya uteizi WA wengine ulisahaulika kabisa.
Kila wanalofanya wanjikuta Lissu anazidi kubarikiwa.

😅😅😅
 
Subpost 1 - Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Tundu Lissu kuwa mgombea U ( 426 X 640 ).jpg
 
Wakati Lissu amekomaa kushambulia beki yake majimboni imekatika na mpaka muda huu ameshapigwa 22-0.

Lissu endelea kuwekeza kwenye walinzi wanaovaa ma spotlight ya underground kichwani, hadi unashtuka hayana dili na hayamtishi yeyote utakuwa umepoteza karibu majimbo yote. Utaongozaje nchi bila wabunge, mi sielewi..
Baada ya RAIS TAL kuapishwa issue ya wabunge ni ndogo sana tulia wewe
 
Sasa lazima tifikirie namna ya kuwabana NEC ili watangaze Lissu siku akishinda. Wasije wanafanya figisu maana kule Malawi rais alishindwa vibaya Ila akatangazawa. Tume hii unaweza kumtangaza Magufuli hata akipata kura elfu 50 tu, huku Lissu akapata kula mil 18
 
Mwambie huyo boya Serikali hii haina uonevu kwa walemavu, wacha aje kwenye kampeni aone wananchi watakavyomshangaa huyu mwakilishi wa mabeberu anayetaka wanaume waoane sijui ataanza kuolewa yeye!!?
Boya ni wewe mwakilishi wa chato wananchi wapi watamshangaa? Maana wananchi wa Tanzania wanamuelewa sana acha kuwasemea wananchi waliozinduka kwa kujua CCM ni chama cha kishetani na uonevu.
 
Sasa lazima tifikirie namna ya kuwabana NEC ili watangaze Lissu siku akishinda. Wasije wanafanya figisu maana kule Malawi rais alishindwa vibaya Ila akatangazawa. Tume hii unaweza kumtangaza Magufuli hata akipata kura elfu 50 tu, huku Lissu akapata kula mil 18
Usiwe na wasi wasi. Walimpiga risasi 16 hakufa, wakamnyanganya stahili zake hakufa, wakamvua ubunge akasavaivu, wakasema hataurusi huyo mlemavu akarudi, wakasema akirudi tu anapigwa nyingine na kwamba mwaka huu hawatakosa shabaha, mara ooh akija atafikia Segerea, huku wakiseamatanyanganywa passport, atafikia mahakamani, akja mchana kweupe.

Alipofika wakasema chama chake hakitamteua Mbowe kashakula pesa za nyarandu na membe. Akateuliwa, wakasema hata pata fomu amefanya kampeni mapema fomu akapata, wakaja na single nyingine eti hajahakiki fomu zake. Na leo Ameteuliwa.

Hivi vigingi vyote kuvivuka sio nguvu ya Lissu its a devine power.
 
Nchi hii bado hakuna chama cha kusimamia Serikali zaidi ya CCM. Kwahiyo, uwe unataka. Uwe hautaki, Serikali ya CCM itakuongoza tu Jana, leo na kesho. Jiandae tu Kisaikolojia.
CCM ingekuwa inapendwa na kujiamini isingekuwa inapoteza pesa nyingi kuidhoofisha kuihujumu chadema, mfano sasa jana wamewalipa Shibuda dola laki mbili advance na pia Lipumba dola laki mbili ni sawa na milion mia tano kasoro hivi ili waende NECCCM kumwekea pingamizi ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
 
Kibinadamu ipo hali nyingine yaweza kukutia woga au kukufikirisha kulingana na muonekano utakao uona. Mfano, unaingia chumba cha upasuaji kufanyiwa operesheni lakini unamuona daktari akikupiga jicho la chuki kabisa unaweza kugoma kuendelea na zoezi hilo.

Matendo yanayofanywa na watumishi wa Tume (NEC) kwa vyama vya upinzani yanaleta wasiwasi sana juu ya hali ya uchaguzi huu ujao. Lakini ukiliona jicho hili LA Kamishna wa Tume kwa mgombea huyu wa Urais unapata mashaka makubwa kuwa jee kuna nini kati yao? Chuki?
IMG_20200826_004252.jpg
 
CCM ingekuwa inapendwa na kujiamini isingekuwa inapoteza pesa nyingi kuidhoofisha kuihujumu chadema, mfano sasa jana wamewalipa Shibuda dola laki mbili advance na pia Lipumba dola laki mbili ni sawa na milion mia tano kasoro hivi ili waende NECCCM kumwekea pingamizi ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Mapingamizi ambayo hayaleta impact yoyote.waache wale pesa za ccm maana hawana perdiem
 
Back
Top Bottom