[emoji23][emoji23]Hawa tweeter ni wehu sana post zote leo ni 10hs tu
kaz ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Hawa tweeter ni wehu sana post zote leo ni 10hs tu
Tangu 2015Kwa nini mnateseka?
mtu mwenyewe ni unfit!
Hata kura milioni moja akizipata ni bahati!
Tangu lini Tanzania ikaongozwa na mropokaji!
Duniani kote wamejua Tumeccm wapo busy kuihujumu chademamtamtangaza tu, NEC endeleeni kujichelesha.
Picha akiingia tume imetumwa saa 5 na dakika 47.Hivi ninyi machizi kweli. Tundu anafanya upumbavu halaf akatwe mseme kuhatarisha amani ya nchi. Amepangiwa saa 6 kachelewa kufika mlitaka nini?
Mkuu nipe connection za huyu manzi nile nae sahani moja.Umejaliwaa msambwanda dah
Nlikuona sku moja pande fulani
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kitoto kilichobebwa kikidhihaki haki.Jaji kaijage wa NEC Akili zake kwa sasa zipo sawa na za cyprian Musiba na Le mutuz kichwani hana Ubongo tena
Naona watakuwa wakagua nukta herufi kubwa na ndogo bila kusahau koma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujuma Hujuma Hujuma
Why this?ondoa hofu
hawatoweza wanajichelewesha tu, labda wanataka tupate habari tukiwa tunakula popcorn kwa sofaDuniani kote wamejua Tumeccm wapo busy kuihujumu chadema
Tuna hujumiwa liveHujuma Hujuma Hujuma
Lissu wa mwisho kuhakikiwa na kuteuliwa ondoa hofu
Sawa sawa, wenzake walikagua fomu jana. Wao wakaenda leo kukagua na kuwakilisha. Saa nyingine hata kama ni mashabiki wa Chadema tuwe tuna reason vyema. Tujiulize kwanini hawakupeleka fomu jana? Hivi leo zikiwa na shida kuna muda wa marekebisho? Tusiwe wa kulaumu tuu. Nasi tukubali muda mwingine kubeba lawama.. Hili ni kosa limefanywa na chama full stop.
Hiyo Ni sawa na kuabirisha Tumbo la kuharaTume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuahirisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
Km mm tu[emoji2955]Daaa
Nimehisi tumbo kuvurugika
Jamaniii