Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kihunzi namba 1 kakivuka, na kuwekw muda mrefu hapo kumchosha kiakili asipate muda wa maandalizi ya keho mahakamani. Lisu anatafutiwa njia ya kukwamishwa, imeshapangwa nayo ni mahakamani. Ndio kihunzi no. 2. Kukivuka kinaanza kesho.
 
Nec wamempa tundu popularity ya bure now kila Mtanzania alikuwa anasubiri kwanini hawamteui Lissu hivi inaingia akilini mtu kakutana na mamilion ya Watanzania then wawe feki kwamba inabidi wahakikiwe ajabu sana
 
Hivi hii nchi ni ya nani? Na nani mwenye haki zaidi ya mwingine hata aamue nani awe nani!!

Kuna baadhi ya watu tukiwa kwenye ofisi za umma ama au taasisi na idara fulani tunajiona tuna mamlaka ya kufanya chochote tutakacho.

Haiko hivyo, hii nchi ina sheria na imesimamiwa na katiba.
Na ndio kazi ya Serikali kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. Kama hakiko sawa, hata awe Lissu atashughulikiwa. So, afuate taratibu tu. Period!
 
Mbona moto wenu 2015 ulikuwa mkubwa zaidi ya huu na tulipita salama chini ya JPM. Safari hii hata hatuna habari na kampeni. Tunasubiri kupiga kura tu. Lissu akipata asilimia 15% njoo unishushue!
Safari hii mtapiga push ups kwa utosi 🤣🤣🤣
 
Jaribio la Kwanza

CCM kimekuwa chama cha ajabu sana, ktk siku muhimu hapa nchini kama hii ya leo, kinathubutu kukosa subira na kuyatenda mambo ya hovyo kiasi cha kuogofya cha kuwahusisha makada wake kuchelewesha kwa makusudi haki kutendeka kwa wakati. Hivi huo uharaka wa kutaka kulazimisha kusikilizwa kwa kesi za muda mrefu za Tundu Lissu zilitoka wapi ktk kipindi ambacho kinafahamika kabisa ni chenye shughuli muhimu za kisiasa zinazotokea kwa nadra kwa ajili hatma ya Taifa zikiwa zinaendelea.

Jaribio la Pili

Kutaka kumtoa katia reli ktk kipindi hiki, haya ni matumizi mabaya ya vyombo vyetu vya dola. Hii ni mojawapo ya njia ya hovyo kabisa ya kutaka kuhujumu uchaguzi wa mwaka huu kwa kumpendelea mtu fulani. Hii ni dalili ya hofu kubwa ambayo inamnyima usingizi mtu fulani asiyejiamini.

Jaribio la Tatu

Kama kutaka kumpeleka mahakamani kwa njia ya namna ya kitekaji, hii itakuwa ni njia ovu ya kutaka kumuengua mtu ambaye anaonyesha kukubalika zaidi hata kuungwa mkono na watu wengi. Inatafutwa njia rahisi ya watu kupiga kampeni kwa kupiga "push ups" tu badala ya kujibu hoja ngumu kutoka upande wa ushindani. Mapingamizi ya namna hii ya kihuni HAYAKUBALIKI.
 
pole mkuu. mimba imeshatimiza miezi tisa hakuna namna mkuu..mama Tanzania lazima azae sasa, sisi mamajusi tumeiona nyota ya mtoto kutoka mashariki...jina la mtoto ataitwa UHURU na Kazi.
Hehee, sawasawa mama wa mijusi, tukutane October.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kihunzi namba 1kakivuka, na kuwekw muda mrefu hapo kumchosha kiakili asipate muda wa maandalizi ya keho mahakamani. Lisu anatafutiwa njia ya kukwamishwa, imeshapangwa nayo ni mahakamani. Ndio kihunzi no. 2. Kukivuka kinaanza kesho.
itabidi tupambane hadi mwisho..nukta kwa nukta. hakuna kuachia gepu hata chembe..bandika bandua. ndani ya Tz na NJE ya tanzania.
 
IMG_20200814_102634.jpg

 
Endeleeni kuota tu

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Endelea kuota wewe

Mlitaka kumwua hakufa

Mkataka kumzuia kurudi nyumbani mkashindwa

Mmeshinda siku nzima ya leo mkipanga kumzuia asigombee mkashindwa

Sasa mnadhani mtamwibia kura...

This man is a hard nut to crack meeen, tulia tuwarudishe Chato mwezi wa 10, Uzuri tayari Dar mlishakimbia joto mmejificha Chamwino
 
Back
Top Bottom