Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Moving with ultra supersonic speedUzi nyomi Tanzania yote imo humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moving with ultra supersonic speedUzi nyomi Tanzania yote imo humu
Usiwe unavutia bangi mataconiAmeliwa kichwa!
Nacheka ila naogopa
Da poleni Mie kwenye saa 12 jioni kidogo Moyo ushindwe kusukuma damu. Muda wote ilikuwa unatutia Moyo Ubarikiwe.Piposssss...Kazi imeisha huku Dodoma. Lissu amepitishwa rasmi na tume kuwania urais kupitia Chadema muda huu.
Kwani kuna mtu ajuwi Kiingereza !?Kiingereza cha nini wewe Lissu au unawataarifu mabwana wale waliokutuma ukarudi mbiombio?
na bado Jiwe litasaga unga mpaka lichoke maana tutaliongezea muda wa kutawala.
Dawa sahihi kwa Lipumba na shibuda ni kuwatembezea kichapo cha mbwa mwizi kwani wameiba pesa za umma kwa kazi haramuNa wenyewe watawekewa pingamizi kwa kutoleta majina halisi ya wadhamini Toka mikoani badala yake wakayatoa kwenye kompyuta ya tume.
Hii ni kwamba Nchi ilisimama kumsubiri LISSU huko NECMoving with ultra supersonic speed
Lipumba na shibuda wamekula advance dola laki nne wamuwekee pingamiziNimefurah sana Lissu kupitishwa na tume, niende kunywa bia sasa
Safi sana! Ningekasirika sana kama NEC ingemkata huyu mtu!
Huyu tutamfundisha sisi wanachi hapo oktoba 28 kwamba hii nchi haiendeshwi kwa shinikizo za amsterdam
Nadhani ulikuwa mmojawapoHii ni kwamba Nchi ilisimama kumsubiri LISSU huko NEC
Hata Mimi naona hivyo.Sasa subiria uasi mkubwa toka chama Cha kijani na ndani ya Vyombo vya serikali kumsapoti mtu huyu.Kwa Jinsi huu uzi ulivyoenda tu na kwa jinsi ya feelings za watanzania walizozionesha kwenye pages mbalimbali zilizotangaza kupitishwa kwa Lissu. Nina uhakika wa asilimia 100 Tundu Antipas Lissu is our next president 2020 -2025
NECCCM walipanga njama za kumkata kwa visingizio vya kishamba visivyo na mashiko lakini wakashituka baada ya kuona nyuzi kibao mitandaoni zikiwandama kuwakanya waache ushetani waoHii ni kwamba Nchi lisimama kumsubiri LISSU huko NEC