Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Kila mtu alikuwa anajua watafanya hivyo lakini kwasababu Lissu kawabana kisheria na wameshidwa kutoa sababu imeshafanya Tume ionekane ni ya CCM. CCM kwa kutokuwa makini watawafanya Tume waonekane kama wajinga. Lissu anajua sheria za uchaguzi kuliko watu wa tume na wenyewe.
Is Lissu constitution lawyer specialist?
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu,Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na mgombea Raisi Magufuli akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari)...

Tume imejichanganya yenyewe. Wawekewa pingamizi wame"enjoy benefit of doubt". Wamenusurika.
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu,Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na mgombea uraisi Magufuli, akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).

Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki kwa maana ya kuhakiki wadhamini wake tofauti na mgombea Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani na wasimamizi wa majimbo na wakazigonga mihuru badala ya fomu hizo kuhakikiwa na NEC?

Hoja nyingine ya Lissu ni kuhusu siku ya kurudisha fomu ambayo ilikuwa ni jana, na ndio siku ambayo,kwa mujibu wa sheria, ilikuwa ni siku ya uteuzi. Sasa hao wagombea wengine licha ya fomu zao kuhakikiwa na watu wasiostahili kisheria,lakini bado ziliwasilishwa katika siku ambayo haikuwa siku ya uteuzi(kwa maelezo ya Lissu) na hilo,kwa mujibu wa Lissu, pia ni kukiuka sheria ya uchaguzi.

Lissu pia kaweka wazi kuwa kwa mujibu wa sheria,Tume wanaweza kutoa maelekezo, ila sheria hiyo hiyo inatamka kuwa maelezo hayo hayapaswi kuwa kinyume na sheria yenyewe.

All in all,wahusika wamepata funzo tena bila shaka ni funzo kubwa tu hasa kuhusu hizi sheria zetu..

Cha ajabu,wao katika kujibu, hawatufafanulii zaidi ya kusema tu wametupilia mbali na kwamba majibu yatatolewa kwa muweka pingamizi kwa maandishi.
Tume inatakiwa ijibu hoja za Lissu kifungu kwa kifungu , Mungu si athumani yaani yesu wa ccm kakosea kujaza fomu maajabu ya Rahman .
 
Mbona sheria inataka mweka pingamizi na aliyewekewa kukutana na mwekews pingamizi ajibu mapingamizi , mbona haikufsnyikz hivyo ? Kama sheria inavyotaka yesu ws ccm aibu kweli masikini .
Screenshot_20200826-224425.png
Screenshot_20200826-224920.png
Screenshot_20200826-224930.png
Screenshot_20200826-224939.png
Screenshot_20200826-224948.png
Screenshot_20200826-224957.png
Screenshot_20200826-225008.png
Screenshot_20200826-225021.png
Screenshot_20200826-225034.png
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo...
Lissu ni woga wa kuangukia pua kwenye box la kura na vile vile kutaka kuonyesha wafadhili wake kuwa bado ni mtu relevant. Pingamizi la kusema jumla jumla tu hakurudisha kwa mujibu wa sheria bila kusema ni kifungu gani cha sheria hakikuzingatiwa ni pingamizi la kitoto sana kutoka kwa "mwanasheria msomi aliyebobea", kwa sababu jibu lake ni rahisi sana.

Aliyewekewa pingamizi atasema tu sheria zote zilifuatwa. Pingamizi kutupiliwa mbali (dismissed) ni aibu> Ni afahdali angeota pingamizi kimya kimya kuliko kutoa matangzani mengi kwa mbwebe kam haiku sababu ya kutafuta cheap popularity.
 
Lissu ni woga wa kuangukia pua kwenye box la kura na vile vile kutaka kuonyesha wafadhili wake kuwa bado ni mtu relevant. Pingamizi la kusema jumla jumla tu hakurudisha kwa mujibu wa sheria bila kusema ni kifungu gani cha sheria hakikuzingatiwa ni pingamizi la kitoto sana kutoka kwa "mwanasheria msomi aliyebobea", kwa sababu jibu lake ni rahisi sana. Aliyewekewa pingamizi atasema tu sheria zote zilifuatwa. Pingamizi kutupiliwa mbali (dismissed) ni aibu> Ni afahdali angeota pingamizi kimya kimya kuliko kutoa matangzani mengi kwa mbwebe kam haiku sababu ya kutafuta cheap popularity.
Umekirupuka,sikiliza clip uone alivyotaja na sheria husika tena kwa kusoma vifungu na kanuni zake.
 
Lissu ni woga wa kuangukia pua kwenye box la kura na vile vile kutaka kuonyesha wafadhili wake kuwa bado ni mtu relevant. Pingamizi la kusema jumla jumla tu hakurudisha kwa mujibu wa sheria bila kusema ni kifungu gani cha sheria hakikuzingatiwa ni pingamizi la kitoto sana kutoka kwa "mwanasheria msomi aliyebobea", kwa sababu jibu lake ni rahisi sana. Aliyewekewa pingamizi atasema tu sheria zote zilifuatwa. Pingamizi kutupiliwa mbali (dismissed) ni aibu> Ni afahdali angeota pingamizi kimya kimya kuliko kutoa matangzani mengi kwa mbwebe kam haiku sababu ya kutafuta cheap popularity.
Wafadhili wapi? Wafadhili na pingamizi wapi na wapi?acha kuchenganya mada, vifungu vya Sheria alivibainisha vizuri lakini wewe huwezi kujua kwa sababu siyo Mtumishi wa NECCCM, pingamizi kutupiliwa mbali kwa njia haramu na za kishetani siyo Aibu yeyote labda ni Aibu kwako wewe mbumbumbu juha usiyejielewa,

pingamizi la mbwembwe limepingwa vizuri lakini majibu ya NECCCM ni haramu hakuna Tatizo kwani watanzania ni waelewa wanejua kuwa NECCCM imemlinda mtukufu mwenyekiti wa CCM kiutu uzima, wenye Akili wote wanajua kuwa NECCCM imemubeba magufuli achilia mbali vilaza kama nyinyi mnaowaza ujinga.
 
Lissu ni woga wa kuangukia pua kwenye box la kura na vile vile kutaka kuonyesha wafadhili wake kuwa bado ni mtu relevant. Pingamizi la kusema jumla jumla tu hakurudisha kwa mujibu wa sheria bila kusema ni kifungu gani cha sheria hakikuzingatiwa ni pingamizi la kitoto sana kutoka kwa "mwanasheria msomi aliyebobea", kwa sababu jibu lake ni rahisi sana. Aliyewekewa pingamizi atasema tu sheria zote zilifuatwa. Pingamizi kutupiliwa mbali (dismissed) ni aibu> Ni afahdali angeota pingamizi kimya kimya kuliko kutoa matangzani mengi kwa mbwebe kam haiku sababu ya kutafuta cheap popularity.
Kama unasaka uteuzi kwa uandishi huu pole sana hupati hata uteuzi wa kuwa house boy chato au chamwino
 
Oyaa lumumba, Wacha nilale, kesho mapema Saa mbili niko kwa ratiba ya kumfanyia upasuaji Mgonjwa
Naivo nahitajika kuamka mapema.



Ila nasemaje mwaka huuu Mmekutana na Kisiki Jabali saizi yenu , mmoja lkn anawapa kihoro mamaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Surgeon banaa...

Haya Kapumzike Upate Nguvu Ukachezee Artery Forceps na BP handle, Apone Mgonjwa wetu aaamin...

Magufuli amewatengenezea Mazingira Bora Ya Kazi!!

Alamsiki!!
 
Mbona sheria inataka mweka pingamizi na aliyewekewa kukutana na mwekews pingamizi ajibu mapingamizi , mbona haikufsnyikz hivyo ? Kama sheria inavyotaka yesu ws ccm aibu kweli masikini .View attachment 1549177View attachment 1549178View attachment 1549179View attachment 1549180View attachment 1549181View attachment 1549182View attachment 1549183View attachment 1549184View attachment 1549185

Hakuna sheria hiyo; ebu itaje siyo kuzungumza kijumla jumula tu. Sheria na kanuni za uchaguzi nimekuambatishia hapa. Sheria kuhusu uteuzi wa wagombea inasema hivi:

1598483091340.png

Halafu kanuni za uchaguzi kuhusu uteuzi wa wagombea zinasema hivi

1598482720455.png



Sheria ya uchaguzi haiongelei mapingamizi kwa uteuzi wa wagombea wa urais, ila kanuni kuhusu kuweka pingamizi zinasema hivi:


1598482644690.png


Hakuna inaposema kuwa mweka pingamizi na mwekewa pingamizi wakutanishwe. Mambo ambayo Lissu alikuwa akiongea hayana msingi wowote wa kisheria, lakini tume ilimvumilia tu. Nashangaa watu wanampigia vigelegele tu bila hata kusoma sheria na kanuni zenyewe
 

Attachments

Back
Top Bottom