CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA NI MGOMBEA HALALI WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA WANANCHI (CUF)
Tume imejiridhisha kuwa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amerejesha fomu zake kwa mujibu wa Sheria, kanuni na maelelezo ya tume ya taifa ya uchaguzi.
Hivyo tume imejiridhisha kwamba pingamizi halina msingi wa kisheria na umetupilia mbali.
Kwa maana hiyo Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ni mgombea halali wa urais kupitia chama Cha wananchi (CUF)
#NitampaKuraYanguProfLipumba.