Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

IMG_20200826_234946_319.jpg
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI:

PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA NI MGOMBEA HALALI WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA WANANCHI (CUF)

Tume imejiridhisha kuwa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amerejesha fomu zake kwa mujibu wa Sheria, kanuni na maelelezo ya tume ya taifa ya uchaguzi.

Hivyo tume imejiridhisha kwamba pingamizi halina msingi wa kisheria na umetupilia mbali.

Kwa maana hiyo Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ni mgombea halali wa urais kupitia chama Cha wananchi (CUF)

#NitampaKuraYanguProfLipumba.
 
Duh. Kumbe unaitegemea Marekani na Ulaya?

Kamuulize Besige wa Uganda mpaka imebidi ajistaafie siasa maana kaona anazeeka na matumaini kama haya haya yako
Bila Ulaya na marekani hatuwezi kuwatoa nyie viazi.

Tunahitaji Pesa, intelijensia n.k.

Tutayapata wapi km sio Ulaya????.
 
Naona unaotaaa, Dunia hii??? Ujamaa ulijifia kitamboooo na haitotokea hata siku moja ujamaa kurejea, haitokaaa kutokea.

Namaanisha ivi, Dunia inaongozwa ,na wanaoiongoza ndio wapo dhidi yenu nyinyi wauaji , watekaji, wanyanyasaji .

Na mtaandoka tuuu... Marekani na Ulaya haijawahi kushindwa Chini ya Jua[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko.

Ambavyo vinafanya ujambazi nchi za Africa.
 
Corona tu imewashinda sasa wewe unasema nini?
Huko marekani kwenyewe huyo Trump ana mawazo, sasa ahangaike na sisi ili iweje?
Bado sisi ni taifa huru
Tanzania siyo Taifa huru ndiyo maana kuna Balozi mbalimbali na pia mbona yule Balozi wa marekani alikuwa akikosoa live waliogopa kumfukuza? Tanzania siyo huru sasa ipo chini ya Mkoloni mweusi tokea chato ingawa analala chamwino, Wapinzani wanadai uhuru kama akina nyerere au Mandela alivyodai uhuru toka kwa makaburu
 
Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko
Ambavyo vinafanya ujambazi nchi za Africa.
Unaonaje Lissu atakavyoimarisha mahusiano na viongozi wakubwa wa Dunia.

Tanzania ya Lissu ,ni Tanzania bora kabisaaaaa
 
Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko
Ambavyo vinafanya ujambazi nchi za Africa.
Wewe mwenyewe hapo ulipo ni fala na mbumbumbu juha zuzu unawezaje kujua ya Ulaya dhidi ya lisu? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu na uongo wako wa kishamba tokea kolomije.
 
Kuna watu wengi wanamuharibia Magufuli makusudi ashindwe kusimamia vitu wanavyovipenda wananchi tangu mwanzo, Sasa mtu anasema atamponda Lissu mawe Sasa hapo ukifanya hivyo utakuwa unamharibia Nani Kama siyo kuwapa maadui kwamba Kuna watu makatili ili waongoze hata hao waliotupa mawe mpaka sasa wananchi wameongeza chuki hebu achani wanasiasa warumbane wao maana mwisho wa siku wanakaa wanaelewana ila sisi wengine tunajikuta tumehawaribia kwa kutumia nguvu badala ya akili.
 
Tanzania siyo Taifa huru ndiyo maana kuna Balozi mbalimbali na pia mbona yule Balozi wa marekani alikuwa akikosoa live waliogopa kumfukuza? Tanzania siyo huru sasa ipo chini ya Mkoloni mweusi tokea chato ingawa analala chamwino, Wapinzani wanadai uhuru kama akina nyerere au Mandela alivyodai uhuru toka kwa makaburu

Kwa hiyo alienda wapi?
Sisi hatufukuzi kabla hatujaongea na wakubwa zake,
Na ndio maana walimuondoa kwa kuwa nae alikuwa kibalaka wa wazungu washenzi.
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu,Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na Magufuli akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).

Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki tofauti na Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani badala ya kuhakikiwa na NEC?

All in all,wamepata funzo na aibu kubwa wahusika wote.

Cha ajabu hawafafanui zaidi ya kusema tu wametupilia mbali.
Sasa siukakate Rufaa juha wewe?
Unakuja kutulilia huku so what?
Damn u!
 
Hatuwezi kutumia akili za kichaa kuongoza nchi, huyo huyo kasema tume inaweza kuwapa mamlaka wasimamizi, bado tena anasema sio harali,
Pili kuhusu picha
Naomba unipe tafasiri ya
pasport size?
full size na?
half size?
Medium size?
Big size
Je maana yake ni lazima uangalie mbele au ni kipimo cha ukubwa wa picha?

Kuhusu kuangalia mbele ni masharti ya taasisi au hitaji husika na sio kiwango cha ukubwa wa picha.
Na ndo maana tunasema tundu ni kichaa ila bado mnamshangilia tu.
Alisema magufuli katoa rushwa ya laki moja bado mkashangilia
Nyie ni mazuzu tu.

Ukitaka kujua tundu anamuogopa magufuri, toka jana usiku anatafuta makosa ya magufuli tu siku nzima na nadhani hajalala.

We ni mzigo kwa taifa hili
 
Back
Top Bottom