Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie Lisu aishitaki tume kwa kale ka beberu kake ka amsterdam,Tume ya uchaguzi imejaa vilaza wa taifa. Haijatoa fact hata moja kujibu hoja za Tundu Lissu. Tume ni wapuuzi wa kutupiliwa mbali!
26 Agosti 2020
Dodoma, Tanzania
DAKIKA 30 ZA HOJA YA PINGAMIZI
Hoja za Tundu Lissu alipozungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma na kuchambua kwa undani hoja nzito za sababu ya pingamizi kwa wagombea wawili wa vyama vya siasa ngazi ya Urais ambao ni John Magufuli wa CCM na Prof. Haruna Lipumba wa CUF
Dunia gani? Amsterdam?Kumbuka the world is watching. Sasaivi watu hawafanyi vitu kwa pupa wanafanya ili kukusanya ushahidi n CCM na Tume yenu mnaingia kichwa kichwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mchato bwanaHuyu mbeligiji bwana
Subiri utaona. Mtajua hamjui mwaka huu 😀Dunia gani? Amsterdam?
Dunia gani chato?Dunia gani? Amsterdam?
Nani kakatwa , kama magufuli karudishwa unadhani nani ataondolewa ?Moto mpuuzi wewe ! Lissu alisema wagombea ubunge na udiwani wa chama chake wakienguliwa awaagiza mifugo yake muingie barabarani mbona hajaingia?
Tunataka Bichwa ajue kua Sisi ndio wenye nchi .Oktoba kile kiduku chake tutakinyoa bila maji
Corona tu imewashinda sasa wewe unasema nini?Naona unaotaaa, Dunia hii??? Ujamaa ulijifia kitamboooo na haitotokea hata siku moja ujamaa kurejea, haitokaaa kutokea.
Namaanisha ivi, Dunia inaongozwa ,na wanaoiongoza ndio wapo dhidi yenu nyinyi wauaji , watekaji, wanyanyasaji..
Kuna yule mama mvaa kilemba ana miwani ana roho mbaya sana kwa kweli Tumeccm imejaa watu Hatari kwa usitawi wa demokrasia ya TanzaniaTime ya uchaguzi / na wajumbe wake,wote wameteuliwa na Raisi ambeye ndiye mgombea,a fomu wemjazia wao kwa kusea,tunategemea hakimu atakuwa nani? Na makovu yatakuwaje?
Duh. Kumbe unaitegemea Marekani na Ulaya?Naona unaotaaa, Dunia hii??? Ujamaa ulijifia kitamboooo na haitotokea hata siku moja ujamaa kurejea, haitokaaa kutokea.
Namaanisha ivi, Dunia inaongozwa ,na wanaoiongoza ndio wapo dhidi yenu nyinyi wauaji , watekaji, wanyanyasaji .
Na mtaandoka tuuu... Marekani na Ulaya haijawahi kushindwa Chini ya Jua[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha ndo mtajua Hamjui..Corona tu imewashinda sasa wewe unasema nini?
Huko marekani kwenyewe huyo Trump ana mawazo, sasa ahangaike na sisi ili iweje?
Bado sisi ni taifa huru
Nyie bwana msitushe na huyo bwana enu amsterdam hapaCCM sasa inatizamwa na Ulimwengu wote vioja vituko unyanyasaji uonevu uovu wao wote unaangaliwa Duniani kote,