Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Hatuwezi kutumia akili za kichaa kuongoza nchi, huyo huyo kasema tume inaweza kuwapa mamlaka wasimamizi, bado tena anasema sio harali,
Pili kuhusu picha
Naomba unipe tafasiri ya
pasport size?
full size na?
half size?
Medium size?
Big size
Je maana yake ni lazima uangalie mbele au ni kipimo cha ukubwa wa picha?

Kuhusu kuangalia mbele ni masharti ya taasisi au hitaji husika na sio kiwango cha ukubwa wa picha.
Na ndo maana tunasema tundu ni kichaa ila bado mnamshangilia tu.
Alisema magufuli katoa rushwa ya laki moja bado mkashangilia
Nyie ni mazuzu tu.

Ukitaka kujua tundu anamuogopa magufuri, toka jana usiku anatafuta makosa ya magufuli tu siku nzima na nadhani hajalala.
sijakuelewa wew ngamia kuhusu huu upupu wako
 
Yan mpaka sasa mshapogwa majimbo 22 alafu mnasema mnaiangusha CCM nyie kweli nyumbu!..
Na ili muyapate hayo lazima muolewe kwanza
Oyaa lumumba, Wacha nilale, kesho mapema Saa mbili niko kwa ratiba ya kumfanyia upasuaji Mgonjwa
Naivo nahitajika kuamka mapema.



Ila nasemaje mwaka huuu Mmekutana na Kisiki Jabali saizi yenu , mmoja lkn anawapa kihoro mamaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oyaa lumumba, Wacha nilale, kesho mapema Saa mbili niko kwa ratiba ya kumfanyia upasuaji Mgonjwa
Naivo nahitajika kuamka mapema.



Ila nasemaje mwaka huuu Mmekutana na Kisiki Jabali saizi yenu , mmoja lkn anawapa kihoro mamaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ndo mnavyohofurahi , ilhali mnajua uchaguzi hamshindi ! Yaan ni kama mnajitekenya na kucheka wenyewe!
 
Nikiangalia trend ya mambo anayofanya Lissu tangia siku amerudi nchini, nashindwa kumtofautisha na mwanamke anaetafuta visababu vya kuachwa na mume wake.Lakini mme wake yuko very smart.
Mwambieni Lissu twende kwenye debe october 28. Aache kuwa kama mwanamke aliyesaliti ndoa yake anatafuta sababu kujustfy usaliti wake.
kobe wewe
 
Ndugu, unashangilia bila kujua mtego wa Lissu, akili kubwa iliyo nyuma ya mapingamizi hayo ili kuwa kutest tume kama itajichanganya ama la sasa kinachofuata kwa sababu zile zile zilitolewa na tume wagombea wote wa vyama vya upinzani walioenguliwa na wakurugenzi wa halmashauri katika ngazi ya ubunge wanaenda kurudishwa. Kwa sababu kuenguliwa kwao ni hila na sababu za hovyo hovyo tu. Na mmoja wa Morogoro mjini alienguliwa kwa sababu ya picha kama ambavyo alitakiwa aenguliwe wa nafasi ya urais lakini kumbe kwa mujibu wa tume yenyewe picha wala sio issue!!!! Sasa nani mshindi hapo?
 
Ndugu, unashangilia bila kujua mtego wa Lissu, akili kubwa iliyo nyuma ya mapingamizi hayo ili kuwa kutest tume kama itajichanganya ama la sasa kinachofuata kwa sababu zile zile zilitolewa na tume wagombea wote wa vyama vya upinzani walioenguliwa na wakurugenzi wa halmashauri katika ngazi ya ubunge wanaenda kurudishwa. Kwa sababu kuenguliwa kwao ni hila na sababu za hovyo hovyo tu. Na mmoja wa Morogoro mjini alienguliwa kwa sababu ya picha kama ambavyo alitakiwa aenguliwe wa nafasi ya urais lakini kumbe kwa mujibu wa tume yenyewe picha wala sio issue!!!! Sasa nani mshindi hapo?
Neno kupita bila kupingwa ndilo neno la kishetani lililosalia Tanzania kwa sasa kwani ni neno haramu lililojaa magumashi ya kutosha
 
Kila mtu alikuwa anajua watafanya hivyo lakini kwasababu Lissu kawabana kisheria na wameshidwa kutoa sababu imeshafanya Tume ionekane ni ya CCM. CCM kwa kutokuwa makini watawafanya Tume waonekane kama wajinga. Lissu anajua sheria za uchaguzi kuliko watu wa tume na wenyewe.
Yale yale " nitaenda kukusemea kwa baba"
Ukiamini baba yako abaweza kuchapa kila mtu!!!
Acha ulofa Lissu hawezi kujua sheria kuliko wote.
 
Kila mtu alikuwa anajua watafanya hivyo lakini kwasababu Lissu kawabana kisheria na wameshidwa kutoa sababu imeshafanya Tume ionekane ni ya CCM. CCM kwa kutokuwa makini watawafanya Tume waonekane kama wajinga. Lissu anajua sheria za uchaguzi kuliko watu wa tume na wenyewe.
Yale yale " nitaenda kukusemea kwa baba"
Ukiamini baba yako abaweza kuchapa kila mtu!!!
Acha ulofa Lissu hawezi kujua sheria kuliko wote.
 
Ndugu, unashangilia bila kujua mtego wa Lissu, akili kubwa iliyo nyuma ya mapingamizi hayo ili kuwa kutest tume kama itajichanganya ama la sasa kinachofuata kwa sababu zile zile zilitolewa na tume wagombea wote wa vyama vya upinzani walioenguliwa na wakurugenzi wa halmashauri katika ngazi ya ubunge wanaenda kurudishwa. Kwa sababu kuenguliwa kwao ni hila na sababu za hovyo hovyo tu. Na mmoja wa Morogoro mjini alienguliwa kwa sababu ya picha kama ambavyo alitakiwa aenguliwe wa nafasi ya urais lakini kumbe kwa mujibu wa tume yenyewe picha wala sio issue!!!! Sasa nani mshindi hapo?

..kwenye picha Magufuli amechemka.

..na angekuwa mgombea kupitia chama cha upinzani asingeteuliwa.
 
Back
Top Bottom