General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Gsam
Wala usihofu kuna kitu dunia inaoneshwa juu ya Tume. Lissu ana akili saaaana
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi
Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.
Mwaka huu mtamu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kurudia rudia