Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

kwa hoja za lissu hata mimi nisiyejua sheria naona NEC wamejibu kama malaymen wa mtaani nilitarajia wapangue hoja zake kwa vifungu wamejiandikia tu,daaa
Lete quote za vifungu vya sheria na sio story za kwa mujibu wa lisu
 
Box lako binafsi? Maana box la watanzania wote wanamuelewa kasoro wewe pekee uliyejitoa fahamu na kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
Watanzania wapi wanaomuelewa Lisu?

Mitandaoni kote wanampiga mawe,.

Hapa jf mko kama 20 tu ndio mnakimbiza uzi wa Lisu angalau unafika page 8
 
Ndugu, unashangilia bila kujua mtego wa Lissu, akili kubwa iliyo nyuma ya mapingamizi hayo ili kuwa kutest tume kama itajichanganya ama la sasa kinachofuata kwa sababu zile zile zilitolewa na tume wagombea wote wa vyama vya upinzani walioenguliwa na wakurugenzi wa halmashauri katika ngazi ya ubunge wanaenda kurudishwa. Kwa sababu kuenguliwa kwao ni hila na sababu za hovyo hovyo tu. Na mmoja wa Morogoro mjini alienguliwa kwa sababu ya picha kama ambavyo alitakiwa aenguliwe wa nafasi ya urais lakini kumbe kwa mujibu wa tume yenyewe picha wala sio issue!!!! Sasa nani mshindi hapo?
Wew ndo bonza kabisa nikwaambie kitu asilimia kubwa ya hao wagombea wenu ni wanauza hizo nafasi kiahaa kujaza form hivyo hovyo ili waenguliwe na kusingizia mara wametekwa au na mambo mengine kwa kuwa wanajua Katu hawatashinda
 
majibu ya pingamizi za magufuli yako wapi ?
Mkuu makosa yale yalishajitokeza toka mwanzo kwenye mchakato wa kuwasaka Wadhamini. Jiwe alitafutiwa Wadhamini na Tume na hata ile siku ya urudishaji fomu alifanya show tu kwani kila kitu Tume walishamaliza.
Sasa basi kwakuwa Tume ndiyo waliofanya hivyo kwa, aibu ile wasingethubutu kumuita Jiwe aje mbele ya Tume kujibu pingamizi.
 
Kinyago uchonge mwenyewe then kikutishe? Mabeberu wenye mdoli wanazodolewa mchana kweupe sembuse hicho kikaragosi chao?
Wengine eti Mh. Raisi uso kwa uso na....! Bulldozer ukikutana nalo uso kwa uso sijui kama watapata hata picha ya kuambatanisha kwenye simulizi ama ushahidi.
Kinyago tulichokichonga ni JPM ujuwe
 
Huyo msomi wa asiyekua na uzalendo wala maadili kwa nchi yake huo usomi wake ni style ya kasuku hatufai.

Mgombea urais anayetetea maslahi ulaya huku akiiacha Tanzania inateketea

Anatamka hadharani ushoga uko hautakiwi kupingwa; hii laana.... anawaambia watanzania haswa watoto wetu na kuwahamasisha kutigoana na kusagana eti kwamba sheria inakataza kuingilia faragha za watu. Kwanza maneno yake yanatupa wasiwasi sana kuhusu matendo yake

Kama hao waliomtuma wanampenda waende wakampe urais kwenye nchi zao... hapa kwetu John Pombe Magufuli anatoshaaaa
Huyu atapigwa mapema oktoba 28

Anafikiri watz wote ni wajinga kama yeye. Aende akachekeshane na vibeberu vyake kule ubelgiji
 
Lissu alikuwa analialia atakatwa. Leo anataka mwenzake akatwe. Ni uoga tu, anajua fika hawez toboa mbele ya JPM
 
Lissu alikuwa analialia atakatwa. Leo anataka mwenzake akatwe. Ni uoga tu, anajua fika hawez toboa mbele ya JPM
😂😂😂😂 mpaka miezi 2 ya kampeni iishe mtajuta sana kwanini zile risasi hazikumua. Jamaa ni smart sana kichwani, ni brave kwa maana halisi.
 
Tundu Lissu namuheshimu sana kutokana na misimamo yake thabiti na jinsi anavyojiamini.

Hata hivyo nilimshangaa kidogo kusikia ameweka pingamizi dhidi ya wagombea wenzie wawili. Kiukweli sijaona mantiki ya hoja ya Lissu ya kuwka mapingamiI hayo.

Kimantiki na kisheria hakuna tofauti kati ya kuhakiki fomu za wagombea kupitia NEC au wasimamizi wa uchaguzi huko majimboni kwa mujibu wa maelekezo ya NEC. Lissu anapaswa kutambua kuwa hao wasimamizi wa uchaguzi ndio NEC yenyewe.

Ingawa namuheshimu Lissu lakini sichelei kusema kwamba ni "mjinga" kwa kujaribu ku-challange maelekezo ya halali ya NEC ya kuhakiki fomu kupitia kwa wasimamizi wa uchaguzi huko majimboni. Lissu angekuwa sahihi endapo maelekezo yaliyozingatiwa na Lipumba na Magufuli yasingekuwa yametolewa na NEC.

Lissu anapaswa kutambua NEC ndo yenye mamlaka juu ya mchakato wa uchaguzi na maelekezo yake ni halali. Zaidi anatakiwa aelewe kuwa kwakuwa si kila mtu ni mtaalam wa sheria, basi ili watu waweze kufuata sheria kunatakiwa pawepo chombo cha kuelekeza watu nini cha kufanya kwa maana ya kutoa kanuni na taratibu za sheria husika. Mathali kwa sheria ya usalama barabarani ni kwamba tunapasa kuzingatia taa, alama na maelekezo yaliyotolewa kimaandishi na michoro. Hata hivyo hayo yote unaweza usiyazingatia pale panapokuwepo na askari anayekuelekeza kufanya jambo tofauti bali unapasa kufuata unachoelekezwa na askari kwa maana huyo askari ndo mamlaka yenhewe na kuzingatia maelekezo yake ni wajibu wako hata kama yako tofauti na sheria na taratibu.

Swali ambalo Lissu anapaswa ajiulize ili afahamu mantiki ya kuhakiki fomu kwa wasimamizi wa majimbo na NEC ninhili. Kama ilichukuwa zaidi ya saa 3 kuhakiki fomu zake yeye tu, je ingekchukuwa muda gani kufanya zoezi hilo kwa wagombea wote 16 waliojaza fomu? Kwanini alilalamika kwamba wenzie walichukuwa nusu saa kukaguliwa fomu zao bali yeye ilichukuwa muda mrefu.

Kiufupi ni kwamba alichokishuhudia Lissu hadi akalalamika kuwa amechoka kutokana na zoezi la uhakiki kuchukuwa muda mwingi ndo gharama ya kupinga maelekezo halali na yenye mantiki ya NEC ya kuhakiki fomu kwa wasimamizi huko majimboni. Bali kuwawekea pingamizi Lipumba na Magufuli waliozingatia maelekezo halali ya tume ni zaidi ya ujinga.
 
yaani lissu anajisumbuatu aweke pingamizi lenye hoja nyepesi kiasi hicho halafu ashinde anaweweseka asubiri kufanya kampeni zisizo na manufaa mwqenzie anasubiri kuapishwa tu aliyofanya tumeyakubali

Hiyo ndio mbinu inawafanya ccm watangazwe washindi siku hizi.
 
Back
Top Bottom