Wanazidi kuvunja sheria.Tungekuwa na Tume Huru, Magu asingekuwa mgombea leo.
All in all, wamepata funzo na aibu kubwa wahusika wote.
Tumeccm haifanyi kazi kwa mujibu wa Sheria na katiba bali inafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCMWanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, Magu asingekuwa mgombea leo.
All in all,wamepata funzo na aibu kubwa wahusika wote.
Cha ajabu hawafafanui zaidi ya kusema tu wametupilia mbali.
Hivi nikuulize tu kifupi rafikiLisu atakata rufaa. NEC mtajibeba mwaka huu.
Labda kwenye mahakama za kwao Ulaya.Lisu atakata rufaa. NEC mtajibeba mwaka huu.
Kura yangu nitampa MagufuliJiwe anajua fika.. bila nguvu ya Tume ya uchaguzi.. hawezi shinda..
yaani. Hata baada ya Kushinda pingamizi ila amepata Fundisho..
*miaka mitano anafanya kampeni yeye tu.
*Trillion 1.5 sijui kapeleka wapi
*hataki kuajiri
*hataki kupandisha mishahara ya alio wakuta wameajiriwa na JK
* Mbinafsi
* anapenda sana kusifiwa hata kukubali kuchukua utukufu wa Mungu
Haya mmeshinda na Lisu atapewa medali ya Nobel ya ushujaaWanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, Magu asingekuwa mgombea leo...
Ha ha ha, we jamaa utakuwa Comedian.Magufuli kavuka kizingiti kingine hiki cha pingamizi,ahsante Mungu kwa utukufu wako.
Tuliwaambia lisu anafurahisha tu genge lake mkabaki mnakata viuno humuTuliza kichwa wewe CCM,useme umetumwa kutoa taarifa gani
Mahakamani ndiyo sehemu ya kujidai kwa Lissu. Jamaa anajua sheria mpaka anakera.kesi za kimahakama
Hivi viumbe kama wewe bado vinaishi duniani?Kinyago uchonge mwenyewe then kikutishe? Mabeberu wenye mdoli wanazodolewa mchana kweupe sembuse hicho kikaragosi chao?
Wengine eti Mh. Raisi uso kwa uso na....! Bulldozer ukikutana nalo uso kwa uso sijui kama watapata hata picha ya kuambatanisha kwenye simulizi ama ushahidi.