Kila mtu alikuwa anajua watafanya hivyo lakini kwa sababu Lissu kawabana kisheria na wameshidwa kutoa sababu imeshafanya Tume ionekane ni ya CCM.
CCM kwa kutokuwa makini watawafanya Tume waonekane kama wajinga. Lissu anajua sheria za uchaguzi kuliko watu wa tume na wenyewe.
CCM kwa kutokuwa makini watawafanya Tume waonekane kama wajinga. Lissu anajua sheria za uchaguzi kuliko watu wa tume na wenyewe.