Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Lissu katetemesha viumbe
Nyie ndo mlitetemeka wakati anawaona maboya mna msikiliza kisha mnashangilia.

Yaani Tundu lisu amekutana na everledy paka power premier yaani atakuwa kama panya keenye shimo😁😁😁😁
 
Jiwe anajua fika.. bila nguvu ya Tume ya uchaguzi.. hawezi shinda..
yaani. Hata baada ya Kushinda pingamizi ila amepata Fundisho..
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sana😂😂😂
 
Kamanda kiduku chalii.
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sana😂😂😂
 
Tuliwaambia lisu anafurahisha tu genge lake mkabaki mnakata viuno humu
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sana😂😂😂
 
Tumeccm imetupilia mbali kienyeji pasipo kuzingatia Sheria, NECCCM haifanyi kazi kwa mujibu wa Sheria katiba ya Nchi bali inafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM.
Si mlotegemea tumeccm hiyo hiyo itatengua uteuzi wa jpm !! Haha mnachekesha , subirini mnyolewe!
 
Nikiangalia trend ya mambo anayofanya Lissu tangia siku amerudi nchini, nashindwa kumtofautisha na mwanamke anaetafuta visababu vya kuachwa na mume wake.Lakini mme wake yuko very smart.
Mwambieni Lissu twende kwenye debe october 28. Aache kuwa kama mwanamke aliyesaliti ndoa yake anatafuta sababu kujustfy usaliti wake.
Lazima CCM mtage mwaka huu 😂😂😂


Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sana😂😂😂
 
Kwa heri chadema hata picha hamjaziona au mlikuwa mnaturusha roho kama nyie roho zinavyoweweseka kwenye mtandao.....tupo imara na tupo kimya
 
Back
Top Bottom