Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, Magu asingekuwa mgombea leo.
Kwa mujibu wa Lissu,Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria na Magufuli akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).
Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki tofauti na Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani badala ya kuhakikiwa na NEC?
All in all,wamepata funzo na aibu kubwa wahusika wote.
Cha ajabu hawafafanui zaidi ya kusema tu wametupilia mbali.