Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Hujaelewa nia ya Lissu kwenye haya mapingamizi ilikuwa nini!!Lissu bhana.... Yaani alitegemea tume ingemuengua Magufuli? Hakumbuki 2010 chama chake kilijaribu kwa JK ila ilishindikana?
Nadhani alitaka tu kuchangamsha kampeni...aliamua kupima kima cha maji kwa kutumia fimbo kabla hajatumbukiza miguu.
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi
Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.
Mwaka huu mtamu sana😂😂😂