Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Lissu katetemesha viumbe
Nyie ndo mlitetemeka wakati anawaona maboya mna msikiliza kisha mnashangilia.

Yaani Tundu lisu amekutana na everledy paka power premier yaani atakuwa kama panya keenye shimo😁😁😁😁
 
Jiwe anajua fika.. bila nguvu ya Tume ya uchaguzi.. hawezi shinda..
yaani. Hata baada ya Kushinda pingamizi ila amepata Fundisho..
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kamanda kiduku chalii.
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tuliwaambia lisu anafurahisha tu genge lake mkabaki mnakata viuno humu
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tumeccm imetupilia mbali kienyeji pasipo kuzingatia Sheria, NECCCM haifanyi kazi kwa mujibu wa Sheria katiba ya Nchi bali inafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM.
Si mlotegemea tumeccm hiyo hiyo itatengua uteuzi wa jpm !! Haha mnachekesha , subirini mnyolewe!
 
Lazima CCM mtage mwaka huu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi

Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.

Mwaka huu mtamu sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa heri chadema hata picha hamjaziona au mlikuwa mnaturusha roho kama nyie roho zinavyoweweseka kwenye mtandao.....tupo imara na tupo kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…