Nikuulize angewasaidiaje?Mimi nlisema mapema Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagombea wake ambao majimbo yao yameshatwaliwa na ccm
Lakini kwa vile han akili basi akaona bora atafute kili kupitia Magu
Lissu kawachachafya kweli, jamaa anasoma taarifa huku akijiona bonge la Kichwa majiHahahahaha!!! Hawa jamaa Lissu kawaweka sehemu mbaya hadi wanatia huruma !!
Usalama gani mkuu? Mimi natembea popote tanzania na sina shida iwe usiku au mchana, nachohofia ni ujambazi tu, sasa niogope nini?Ata wewe hautakuwa salama, endelea kushangilia uovu
Nyumbu ni CCM uchaguzi tunashiriki ili kupata ridhaa kuja kutengeneza Tume huru ya uchaguzi hakuna aliyetegemea mtukufu magufuli aondolewe bali watu walijua mapema kuwa Tumeccm itamlinda itambeba lakini itapata fundisho kuwa Sheria zao mbovu walizowatungia wapinzani ipo siku zitawatafuna wenyewe.Kama NEC ni CCM mnashirik uchaguzi wa Nini nyie nyumbu! Ok kumbe mlitegemea hiyo NEC ya CCM imuengue JPM?
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] Mataga wanafurahi leo pasi kujua kesho wataangua kilio kisicho na kifani.hivi unadhani lissu Hakujua Kama mapingamizi yake yatatupiliwa mbali? Intension yake ni Kubwa zaidi mnavofikiria... Hapo sababu zinakusanywa at the end of game ndio mataona impact yake
Ushetani gani kaondoa mkuu?Lisu yupo vizuri kwani kafanikiwa kuondosha ushetani wa awali NECCCM ingawa bado kuna ushetani mwingine tarehe 28 October ambao watanzania watafunga na kuomba uondoke wote humo Tumeccm wapate kutenda haki
Hahahaha CCM mbumbumbuuu kabisaaa yaaan ktk hili. sisi wanachadema ndio tumefaidika nalo.Ebu jiulize wale waliokuwa wanashangilia pale anaongea wana hali gani sasa hivi?
Na utakuta wengine wana masters pale
We nae umekomaa na kakoment kako haka!Genta Lissu is 1000 steps ahead of Tume
Kwa kifupi ni kuwa Tume wamejiweka sehemu ngumu zaidi. Sasa dunia inaangalia watasemaje juu ya wagonbea wa ACT na Chadema walioenguliwa na kutolewa na wasimamizi
Lissu ana akili sana. Alikuwa anajua fika kuwa Tume watafanya haya, dhumuni lake ni kuwaweka uchi, je walivyombeba magufuli na Kibaraka wake, watafanya ivyo pia kwa wagombea wa Chadema na Act walioenguliwa kwa figisu za wasimamizi na mizengwe ya CCM.
Mwaka huu mtamu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mnajua kutukana, kwahiyo wanyonge mnamchagua rais wenu.Kura yangu nitampa Magufuli
Rais wa wanyonge
Wanyonge = malofa /wapumbavu/wasiojitambua
Numekuuliza mnashiriki ucuaguzi wa nini kama NEC ni CCM? Mlitegemea jpm ataenguliwa , lissu anawapoteza maboya ! Aache kutafuta Kiki kwa Jpm!, Tutamnyoa kiduku chake oktoba!Lisu yupo vizuri kwani kafanikiwa kuondosha ushetani wa awali NECCCM ingawa bado kuna ushetani mwingine tarehe 28 October ambao watanzania watafunga na kuomba uondoke wote humo Tumeccm wapate kutenda haki
Badala ya ulete vifungu hapa wewe inaleta gazeti?Huo ni uhuni, Tume imefanya uhuni tena hadharani.
Kweli Tanzania hatuna Tume huru ya uchaguzi.
Sheria inataka ALIYEWEKA PINGAMIZI na ALIYEWEKEWA PINGAMIZI wawepo mbele ya Tume na wote wasikilizwe kabla ya Tume kufanya maamuzi.
Sasa mbona tume imevunja sheria iliyoitunga yenyewe!
Tanzania tuna Tume ila hatuna Tume huru ya uchaguzi. View attachment 1549110
Tumeccm walitengeneza Sheria mbovu za kuwakomoa kuwahujumu wapinzani wakasahau kuwa hizo Sheria zaweza kutumika dhidi ya chama baba yao CCM, leo wamepata fundisho kuwa kila baya ipo siku litawageukia wao wenyeweLissu kawachachafya kweli, jamaa anasoma taarifa huku akijiona bonge la Kichwa maji
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] Mataga wanafurahi leo pasi kujua kesho wataangua kilio kisicho na kifani.
Jitoeni kwenye uchaguzi sasa,Achakujitoa ufahamu wewe mwenyewe unajua maana ya pasipot size, lazima masikio yote mawili yaonekane . Toeni upuuzi wenu kwanza mpaka sasa tume imeshaingia kwenye mtego wa Lissu. Hakuna tume huru.
Mwambie Lisu aishitaki tume kwa yule beberu wake amsterdamTumeccm na wakurugenziccm ni shetani Hatari waliosalia Tanzania tu huna watu wa hivyo popote Duniani
Lumumba mbumbumbu hahahahahaUnaruhusiwa kuendelea kuota.
The world is watchingWe nae umekomaa na kakoment kako haka!
Ccm ndio imeshashinda kwenye majimbo 22 nyie bakini tu kuhombana na hao ACT wenzenu