Napunguza mwili[emoji1787]Asubuhi yote hii ushaamka?.lala huko bana ukue
Mkurya!?!ni kweli hawa wachaga wabaguzi sana niliwahi kuwa na mahusiano na dada wakichanga hadi kufikia hatua ya kutaka kuoa ila mama yake alikataa kata kata mtoto wake asiolewe na mkurya. mahusiano yetu yalidumu kwa muda wa miaka mitatu. niliamua na mm kwenda musoma kutafuta mkurya mwenzangu mpaka sasa maisha yanaenda vzr na tuna watoto yule binti wa kichaga mpaka sasa hajaolewa... anatamani awe mchepuko wangu.
Trust me,, sijawahi vutiwa na wanawake wa kabila lenu hata kidogo kutokana na sababu hizi:-Mkuu
Una kichaa aisee...hata hujui kutukana kwa Kingereza...horrible English right there..
Una hasira kinoma,ndio maana hao wanawake wako wa Kichagga wamekukataa...
Sasa umekua emotional sana kila mtu unatukana....the funny thing unatukana kabila zima as if anybody knows who the fvck you are...
Relax mzee,oa wasichana wa kwenu,they deserve love and respect...
Ulivyo mkichaa umekimbilia makabila ya wanaokuona takataka and this what you get...blame your self hating nigga..
You hate yourself,you hate your people,you hate your women,you hate your tribe...its unfortunate aisee!
Cc: Wyatt Mathewson njoo usome hapa kima wewe maana tukiongea wengine tunaonekana tuna chuki na hilo kabila utopolo lenuni kweli hawa wachaga wabaguzi sana niliwahi kuwa na mahusiano na dada wakichanga hadi kufikia hatua ya kutaka kuoa ila mama yake alikataa kata kata mtoto wake asiolewe na mkurya. mahusiano yetu yalidumu kwa muda wa miaka mitatu. niliamua na mm kwenda musoma kutafuta mkurya mwenzangu mpaka sasa maisha yanaenda vzr na tuna watoto yule binti wa kichaga mpaka sasa hajaolewa... anatamani awe mchepuko wangu.
Thats good,walao umerudi nyumbani umewaenzi wanawake wa kwenu....ni kweli hawa wachaga wabaguzi sana niliwahi kuwa na mahusiano na dada wakichanga hadi kufikia hatua ya kutaka kuoa ila mama yake alikataa kata kata mtoto wake asiolewe na mkurya. mahusiano yetu yalidumu kwa muda wa miaka mitatu. niliamua na mm kwenda musoma kutafuta mkurya mwenzangu mpaka sasa maisha yanaenda vzr na tuna watoto yule binti wa kichaga mpaka sasa hajaolewa... anatamani awe mchepuko wangu.
Nimesoma vizuri tuCc: Wyatt Mathewson njoo usome hapa kima wewe maana tukiongea wengine tunaonekana tuna chuki na hilo kabila utopolo lenu
Sent using Jamii Forums mobile app
My dear Kuna watu uelewa wao uko chini Sana, mwingine anakwambia sipendi unavo comments ur too much as if kaninunulia bundle, but majority of them njaa Kali hawana mbele Wala nyuma, so JF ni stress relieve, and honestly marafiki wengi wa mtandaoni wameshindikana kimaisha Wana mistress na tabia zote mbayaPole sana Mama, mi ningekuwa yeye ningeshukuru sana maana siwezijua nimeepushwa na nini hasa hadi nikataliwe na wewe. Si unajua tena maisha yetu haya yasivyotabirika hasa hasa kwa siku za mbeleni huko Mama?
Mkuu ni ww ninayekufahamu siku nyingi au?Kiukweli kwa asilimia kubwa Wachaga wana umimi sana. Na si watu wa kuwaamini hata kidogo.
Niliwahi kuwa na rafiki Mchaga, yan tulipanga kufanya biashara fulani na nikachangia mtaji. Alichokuja kukifanya mhhhhh....
Kwa kweli Mungu anaweza akawa anamuepusha na jambo kubwa ambalo litamliza kuliko hili la sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23]uchumba ulishakuwa sugu Hadi wamechokana kwa kweliWanachunguzana maini
Wewe umekutana na wanawake of your own caliber..Trust me,, sijawahi vutiwa na wanawake wa kabila lenu hata kidogo kutokana na sababu hizi:-
1. Hawana shape (tako ziro, miguu fito)
2. Hawapo romantic hata kidogo.
3. Viuno vigumu,,,dada zako wana kiuno kigumu Kama cha kwako.... kitandani ni magogo ya maana tu.
4. Most of them ni walevi wa pombe kali na Gold diggers tabia inayopelekea umalaya wao wa kiwango cha SGR.
5. Hupenda kumtawala mwanaume....Sasa wewe tu kaka yao umeshindwa ligi yangu unadhani hao dada zako Malaya ndo wataweza kunitawala mnyama mkali Kama mimi?? Zaidi sana watapigwa kipigo cha mbwa koko waishie kuniroga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndio comment za kibabe alizo ziongea mleta mada ....π haki vile ukiwa na moyo mdogo hapa jf Uaweza kuitelekeza thread yako then ukajifungia chumbani na kuanza kulia ...yaani mtu una msongo wa mawazo then watu wanakuongezea msongo mwingine.!!!! π.Acheni chuki na wachagga, umeachwa kwa sababu nyingine, embu muulize vizuri huyo muachaji, acha kulia lia
ayeeeeeee πWewe umekutana na wanawake of your own caliber..
Huwezi kua mtu C ukutane na mwanamke A...
Hao wote ni size yako wewe kwa jinsi ulivyo...
Makabila yote yana wanawake wazuri sana na wabaya sana.....
Upo devastated na kuachwa na wanawake bora maana wewe ni mtu C.....wasichana wa grade A huwezi wapata maana wewe ni C,hapo hakuna ukabila ni class issue...
Hata ukienda kwenye kabila lenu bado wasichana wa grade A hupati,na wao utawaita wakabila?
Infact ni class issue hapa....
Unaumia roho with these people for nothing,oa kwenu,oa level yako,acha malalamiko!
Wengine tunatafuta mademu wa kufanya nao maisha usiku na mchana hatuwapato
[Yaani
Hongera sana mkuuMimi mchaga na babangu ananikazia lazima nioe mchaga nikitaka kuoa.japo babangu ni muislamu pure alieshika dini
Ila mimi ni mchaga rebel sina kabisa mambo yao ya kichaga na nitaoa yoyote sitaki limit kwenye maisha yangu.
Hahahaahahahaahaha Mbavu zagu mamaeeeπMchaga mwingine huyo anataka kukuumiza kimbia
jf raha sana π π πDada la Kinyakyusa linaforce kuolewa na Mchaga
Pole mkuu inaonyesha umetoswaTrust me,, sijawahi vutiwa na wanawake wa kabila lenu hata kidogo kutokana na sababu hizi:-
1. Hawana shape (tako ziro, miguu fito)
2. Hawapo romantic hata kidogo.
3. Viuno vigumu,,,dada zako wana kiuno kigumu Kama cha kwako.... kitandani ni magogo ya maana tu.
4. Most of them ni walevi wa pombe kali na Gold diggers tabia inayopelekea umalaya wao wa kiwango cha SGR.
5. Hupenda kumtawala mwanaume....Sasa wewe tu kaka yao umeshindwa ligi yangu unadhani hao dada zako Malaya ndo wataweza kunitawala mnyama mkali Kama mimi?? Zaidi sana watapigwa kipigo cha mbwa koko waishie kuniroga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap,,Kuna wachache waliostaarabika kutokana na Elimu na ushika Dini hasa waishio mijini kwenye modern family as you said. Lakini hayo maeneo ya vijijini niliyokutajia Bado wanahusudu matambiko mpaka leo. Na huko ndio uchagani kwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
a is eee π π π ..... Vita ya 3 ya dunia hiiAiseee..mm Baba angu ni mchaga mama Kabila kingne,
Kiukweli cjawah kuishi uchagan hata lugha yao cjui kuiongea nahc mshua alibobea Sana mjini na alikua anafanya Mambo yake mengi Kwa kificho.huwezi amini Baba alikuja kufunga ndoa kimyakimya na mchaga mwenzake wakaanzisha familia,Mzee cjui alirogwa maana hata matunzo kwetu akawa hatoi mama ndo alitusomesha mungu saidia sasa hv kila mtu ana kazi yake ya maana.
Babu mzaa Baba alipofariki ndio tulienda huko na kukutana na familia nyingine ya Mzee lakini ubaguz ulijionyesha dhahiri..kwakua Nina mpunga wangu wa kutosha na Mzee analijua hilo akawa anajaribu Kama kubalance Mambo Ila mashangazi wakatukazia kimtindo.
Mambo yalipoisha mshua akatutambulisha pale pamoja na kazi tunazofanya nikaona mashangazi mishipa ya uso inawalegea mara ooh hawa pia ni wadogo zenu muwasaidie nikamjibu sawa.baadae mm na familia yangu tukajitia ndani ya ndinga tunaamsha japo walijidai ooh kuna Mambo ya Mila mm ckujali.
Kuna wakati ctaman kusema mm ni mchaga yaan nataman badili hata ukoo maana hata mwanamke ukimpenda ukimtajia jina la ukoo ana kukwepa.
WACHAGA NI WANA ROHO MBAYA KULIKO SHETANI.
NI WABINAFSI HATARI.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app