Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Wachaga...wanafundishwa kuiba tangu TU anazaliwa... Wenyewe kupata pesa ndo kipaumbele haijalishi hiyo pesa umeipataje... Ni wezi Sana wadhulimati... Na pia Ni walevi kupindukia...

Kuibia Watu kwao Ni sifa ujanja na ushujuaa
Uko sahihi kabisa.😂
 
Kuna wachaga wenzetu wameamua kutuchafua
 
We angalau umeamua kuendelea usirud nyuma kubali ndo ishakuwa hvo,n sehmu ya maisha
 
We ulikataliwa na wazungu huko Denmark..unajifanya unajua..Dunia hi mtu aoe na aolewe na YOYOTE yule amtakae... Kuoa wakabila lako ndo ndoa inadumu?
...

Kikubwa maelewano...watu mmejaa UkABILA..la chuki TU.
 
Mahusiano gani hayo ya kuwapanga wawili binafs siwez huo ujinga
 
Umeambiwa ukweli ukapaa Tu.

We si unaonaga ni Raha kutukatana makabila ya watu ( kwa mihemuko na chuki zako Bila utafiti) lakin wew ukiambiwa ukweli unapinga kama vile wew msafi wa kila kitu.

Bro nyie ni wabaguzi,wabinafsi,wezi na wenye roho mbaya.
Kabisaaa umesema kweli.
 
Hakuna kitu wabaguzi tu hao acha kusingizia huyo mama.
 
Issue ni kuachwa au ni uchagga? Ata kama angekua mgogo ningemtetea, huyo binti tutamwamini vipi kwa kwa habari ya upande mmoja? Embu tumieni vichwa vyenu vizuri
Tukiachana na mada ya huyu msichana.sisi si tunakaa na wachaga?

Ninawafahamu vzr Sana .

Nyie ni wabaguzi,wakabila,wezi,wenye roho mbaya na siku hiz wadada wenu wanajiingiza kwenye umalaya Sana kupitiliza
 
nicheki pm mkuu tuyajenge
 
wachaga hawatakagi" kysaka"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…