Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ilitakiwa iwe kwenye majaribio hata mwaka mzima kabla ya kupandisha abiria lol
Sijui kama tunaweza zaidi ya betting na mpira
Naoni sisi ni nchi pekee tilioruka maisha kutoka kwenye usafiri wa punda, farasi na hata ngamia na kukutana na mabasi na treni na sasa tunalazimisha umeme
Sijui kama tunaweza zaidi ya betting na mpira
Naoni sisi ni nchi pekee tilioruka maisha kutoka kwenye usafiri wa punda, farasi na hata ngamia na kukutana na mabasi na treni na sasa tunalazimisha umeme