RAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Mama yake yupo hukoDogo anamiaka 20?huyo itakua anaishi ma ndgu huko sio mzamiaji huyo,rip dogo
Huyo mtu mweupe mwenyewe sasa utadhani papai limevalishwa wigi. Sura woyowoyo kama pila mbwa huyu katuulia mdogo wetu .
RAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!
Naliona hapo kwenye picha jeusi kama mpingoRAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!
500,000usd ni sawa na bilion moja na upekepeke kibongo unaona ndogo mfano ikiwepo bongo hio dhamana utabaki kitaa au gerezaniKumbe marekani kesi ya mauaji ina dhamana dah.
RAMON VASQUEZ bila kuona picha usingejua kwamba sio mtu mweupe ?Naliona hapo kwenye picha jeusi kama mpingo
Lakini hawaoni kuwa ni tatizo Sasa? Ndugu kama wewe ni mfuatiliaji wa vyombo vya habari vya kwao utakubaliana na mimi kuwa hili limeshakuwa tatizo kubwa USA. Kibaya zaidi wanaoshambulia ni vijana rika la utineja mwishowe wanaenda kupoteza miaka yao ya ujana magerezani. Kuna kipindi iliibuka mwamko wa kuzifanyia mabadiliko sheria za umiliki wa silaha na sijajua iliishia wapi Mana ilionekana kama inapata upinzani mkubwa.Biashara ya silaha inajumuisha watu wakubwa wengi na faida ni kubwa hawawezi kuifuta
Ni kama sigara
Na wewe ulivyoandika kwa paniki ni kama ungeukuwa na pistol ungempiga risasi mwenye huo uzi uliojibuRAMON VASQUEZ, mshutumiwa wa mauaji, sio mtu mweupe wewe diaspora illiterate wewe !
angalau basi jizoeze kusoma local newspapers mfano hapo kwenu kuna Houston Chronicle , sikiliza NPR Radio ujifunze mambo ya kijamii ya nchi hiyo na pia TV channel ya C-SPAN itakusaidia!
Hivi Amir Khan mcheza muvi wa india mweupe au mweusi? Jet li wa china mweupe au mweusi?RAMON VASQUEZ bila kuona picha usingejua kwamba sio mtu mweupe ?
Lakini hawaoni kuwa ni tatizo Sasa? Ndugu kama wewe ni mfuatiliaji wa vyombo vya habari vya kwao utakubaliana na mimi kuwa hili limeshakuwa tatizo kubwa USA. Kibaya zaidi wanaoshambulia ni vijana rika la utineja mwishowe wanaenda kupoteza miaka yao ya ujana magerezani. Kuna kipindi iliibuka mwamko wa kuzifanyia mabadiliko sheria za umiliki wa silaha na sijajua iliishia wapi Mana ilionekana kama inapata upinzani mkubwa.
R.I.PKuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa 🤔 habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
20-year-old shot and killed almost instantly by suspect after minor crash, FBCSO says
Authorities say the victim, who was driving, hit the shooter's car just moments before the teenage gunman reportedly opened fire.abc13.com
kwani race ni mbili tu duniani, mweupe na mweusi ?Hivi Amir Khan mcheza muvi wa india mweupe au mweusi? Jet li wa china mweupe au mweusi?
We jamaa hujui kuandika au? Mara ajali, mara risasi, mara kanyongwa, yaani vurugu, ngoja nisome mwenyewe hiyo habari, aaghKuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa 🤔 habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
20-year-old shot and killed almost instantly by suspect after minor crash, FBCSO says
Authorities say the victim, who was driving, hit the shooter's car just moments before the teenage gunman reportedly opened fire.abc13.com
You're a fool.Utter Non Sense ! Rubbish !! Crap!!
Unaona shida hiyo Sasa na kingine ndugu haya matukio yamepata nguvu zaidi wakati wa utawala wa Trump kwa sera zake za kibaguzi kwa kuwajaza ujinga wajinga wenzie weupe kujiona wako bora zaidi ya wengine USA.Ni kweli kabisa hili tatizo ni kubwa sana na haliwezi kuisha
Kumbuka wakati Obama alipoingia madarakani alilivalia njuga na kutaka lifanyiwe kazi, ila nguvu yote iliisha maana kama nilivyosema hapo juu ni biashara kubwa inayowaingizia kipato
Haijulikani ni kiasi gani cha wananchi wanaomiliki silaha USA maana wengi wanauziana bila taarifa na wengine wananunua mpaka silaha 100 bila kuhojiwa
Yaani ukitaka uwe na arsenal yako mwenyewe ni wewe tu
Unakuwa na kajeshi kako mwenyewe
Huu ni mtihani
Nakumbuka nilikuwa nafanya kazi sehemu UK kulikuwa na jamaa alidundunduliza hela awapeleke watoto wake Orlando
Siku wameondoka wali book nyumba na gari pia kufika huko wameoga wakasema waende supermarket kununua mahitaji
Ile wanashuka kwenye gari kumbe kuna majambazi wamevamia hapo na risasi zinapigwa
Siku ya nne namuona jamaa karudisha familia anasema huko sio kwa kwenda bora aje kuangalia wanyama [emoji23]
Ukisikia White Man ujuwe ni mzungu na siyo hao unaodhania wewe.Hivi Amir Khan mcheza muvi wa india mweupe au mweusi? Jet li wa china mweupe au mweusi?
Binafsi nilimaanisha mtu mweupe na sio mzunguUkisikia White Man ujuwe ni mzungu na siyo hao unaodhania wewe.
Hata Mo Dewji siyo White Man, ni Indian.