KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi watoto wanabong'oka aisee miaka ile ukiinama tu ushapigwa zamani sana.Kombolela, Ukuti au ule mchezo unaitwa center na ule mpira wa kuzunguka unaitwa sina ukimwi
Nakuja inbox🤣🤣🤣ah ***** umenkumbusha huu wimbo aisee..huu wimbo huwa nikiukumbuka namkumbuka mother fulani alikuwa anaitwa mama Alfani enzi hizo sisi wadogo alikuwa na tako la haja basi kuna siku tunaenda mkoleni yeye ndio alikuwa mbele kabisa anaimbisha huu wimbo..."wee sizai tena hata ukint....ukinf...sizai tena" basi nikikumbuka kuhusu mdundiko wa zamani nakumbuka scene hii ya mama alfani
Hii kitu ikikatika string attachment,unaikuta kiunoni bila kujua.
We jamaaa utanikiza bwana acha kabisa tumeona mengi jamani!!!Enzi hizo
View attachment 1989688
Andrews Liver SaltKwenye tangazo waliita Andrews liva salt???
Mkuu hivi nini kimeleta hiyo haliEnzi hizo ugonjwa mkubwa ulikuwa malaria na badae ukimwi lakini siku hizi ni mwendo wa sukari, presha, ini , figo, stroke.
...Guruwe!....Hahahaha, maza wangu alikuwaga na Peugeot 504.......
...Afrosa...Saboso...Kamanyola...ndekule...paselepa...Bayankata...Vangavanga...Masantula...
CC Bujibuji
...Ungemsahihisha TU Mkuu, bila Kejeli!Acha uongo, Rungwe Oceanic ilikuwa ya Mwakitwange, haina uhusiano na huyo Hashim Rungwe wako! Msiongee uongo hapa watu wengi tunajua haya mambo!
...Land Rover...!Leyland, randrover, 110 defender, Uvaaji chacha na DH
Ngoma moja inaitwa Babatoni enzi nikiwa unyakyusani na wazazi wangu kikazi huko mbeya , hii ngoma wanyakyusa kama wameipoteza wanakosa mengi dunia hii, ina radha ya amapiano, singeli imo, west africa ipo.
Nilianza kupanda hizi kama daladala ensi hizo tunakaa masaki, kulikuwa na chai maharage ndo zinaenda hukoMia ya nyakati flani hivi miaka ya 80View attachment 1990132
Volkswagon Combi
Kampuni Bora kabisa kuwahi kutokea Bongo.daaaa muda umeenda sanaDar/ Kampala via Nairobi.View attachment 1989700