AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Hii ilipotea kimyakimya tu, sijui ilikuwaje.Hii kampuni ilifia wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilipotea kimyakimya tu, sijui ilikuwaje.Hii kampuni ilifia wapi ?
Pole, hebu weka mkasa kidogoJiwe la fatuma, aiseeee, sitasahau
Mkesha kama wooooooooootemafundi wa ngoma wanapiga goma kubwa linatoa mdundo utasema
limefungwa kwenye speaker za watts 100k...
kumbe kitu manual mode... mpigaji kashapiga kiglass "niagieni" a.k.a kachaso..
mbele yake bidada ana shanga zaid ya mia kiunon analimwaga uno kila mdundo wa ngoma na wala
hana haja ya kuvua nguo kubaki uchi.. we unafikiri kuna kuzimwa kwa ngoma hapo?
maana tulikuwa tunachunguliana tundu za pua....Daladala za Chai Maharage
Na hii Corona sijui ingekuwaje!!
Wakina Frederick Sumaye walikuwa na ubia nayo ?Hii ilipotea kimyakimya tu, sijui ilikuwaje.
Wapi NEW CHOXView attachment 1990222
Mie yulee,, cameo hiyo
Afande kanyooka kama mti mkavu. maafande wa sasa wana Mavitambi makubwa kama water melonAcha tu tulitembea na mdundiko kutoka Tandale mpaka Buguruni tuliporudi home tulichezea stiki na mzee mpaka mjumbe aliingilia kati ndo ikawa pona yetu
View attachment 1989651