Tumetoka mbali sana, tumshukuru Mungu. Wengi hawakujionea kwa macho

Tumetoka mbali sana, tumshukuru Mungu. Wengi hawakujionea kwa macho

mafundi wa ngoma wanapiga goma kubwa linatoa mdundo utasema
limefungwa kwenye speaker za watts 100k...
kumbe kitu manual mode... mpigaji kashapiga kiglass "niagieni" a.k.a kachaso..

mbele yake bidada ana shanga zaid ya mia kiunon analimwaga uno kila mdundo wa ngoma na wala
hana haja ya kuvua nguo kubaki uchi.. we unafikiri kuna kuzimwa kwa ngoma hapo?
Mkesha kama woooooooooote
 
IMG-20211110-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom