Umenikumbusha mbali Ila nianze na hili la jiwe Fatuma.
Kuna mzee mmoja jirani alikua mlevi mlevi, Kuna siku amerudi home saa sita usiku wakati bado Yuko sebuleni anakula akasikia kwa nje wanahesabu moooojah. Fasta akafungua mlango na kuwaambia wale wezi, msinivunjie mlango wangu, chukueni mnachotaka halafu mzee akarudi mezani akaendelea na msosi wake. Basi wale wahuni wamesimama pale mlangoni tiivii chogo wanaiona, deki na redio lkn mzee anakata matonge ya ugali na kutoweza kwenye mchuzi mzito wa samaki.
Wale wahuni walianza kumtukana mzee kwamba Ni mwanga na kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Mzee alipomaliza msosi alifunga mlango na kuingia chumbani.
Kesho yake mzee alipokua anahadithia alisema ujinga ule wa kilevi hatakaa aurudie Tena.
Kuna mzee mmoja jirani alikua mlevi mlevi, Kuna siku amerudi home saa sita usiku wakati bado Yuko sebuleni anakula akasikia kwa nje wanahesabu moooojah. Fasta akafungua mlango na kuwaambia wale wezi, msinivunjie mlango wangu, chukueni mnachotaka halafu mzee akarudi mezani akaendelea na msosi wake. Basi wale wahuni wamesimama pale mlangoni tiivii chogo wanaiona, deki na redio lkn mzee anakata matonge ya ugali na kutoweza kwenye mchuzi mzito wa samaki.
Wale wahuni walianza kumtukana mzee kwamba Ni mwanga na kuondoka mmoja baada ya mwingine.
Mzee alipomaliza msosi alifunga mlango na kuingia chumbani.
Kesho yake mzee alipokua anahadithia alisema ujinga ule wa kilevi hatakaa aurudie Tena.