jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Huuu uzi wa zilipendwa.[emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mwamba uliwanyooshahlo la jiwe la fatuma cku moja jamaa wakaja kwetu tukiwa wadogo wazee walikuwa wamesafiri bana.
sasa mi nikawasikia mapema huko nje wanachopanga. nikawaamsha madogo. nikawaambia wapige kimya. nikasogea mlangon na kufungua makomeo taratiibu. ile wajamaa wanaanza kuhesabu moja mbili tatu nikafungua mlango fatuma likapitiliza. jamaa kila mtu alichukua njia yake. sema lilivunja vyombo flan sebulen. umenikumbusha mbali sana.
We kibokohlo la jiwe la fatuma cku moja jamaa wakaja kwetu tukiwa wadogo wazee walikuwa wamesafiri bana.
sasa mi nikawasikia mapema huko nje wanachopanga. nikawaamsha madogo. nikawaambia wapige kimya. nikasogea mlangon na kufungua makomeo taratiibu. ile wajamaa wanaanza kuhesabu moja mbili tatu nikafungua mlango fatuma likapitiliza. jamaa kila mtu alichukua njia yake. sema lilivunja vyombo flan sebulen. umenikumbusha mbali sana.
Hii gari ina roho ya paka
VOLVO ndiyo gari iliyokuwa ikiogopwa na polisi, pijo ilikuwa kiboko yao East Africa Safari Rally ikiendeshwa na Shankland.Yaani wengi watadhani ni as mulizi tu za Jomba Buji, lakini huku ndiko haswa tulikotoka
1. NGOMA YA MDUNDIKO
Zama zile MDUNDIKO ulipita mtaa kwa mtaa jijini, ni mwendo mpwitompwito, nyimbo, ngoma, matusi, mikatiko, yaani kivumbi na jasho, unatoka kwenu Buguruni unajikuta uko Kawe Mzimuni, na nauli huna.
2. JIWE LA FATUMA
Mmelala ndani mnasikia nje watu wanahesabu, moja, mbili taaaaaaaat. Kabla hawajamaliza kuhesabu mnaliona jiwe kubwa sana love naingia ndani, mlango umesambaratishwa, njemba za miraba minne kama Tisa, mapanga yameremetayo yenye makali kuwili yako standby kusambaratisha nyama za miili yenu, MNA music system wanabeba, TV set inaondoka, cheni na vidani vya dhahabu si Mali yenu tena.
Shukrani kwa Augustino Lyatonga Mrema
3. MAGARI KUFUNGWA KWA MAKUFULI NA MAKOMEO
MULTI LOCK kampuni ya ki Israel iliuza sana makufuli na makomeo ya kulinda magari yasiibwe. Mijitu iliiba magari kwa namna mbalimbali, ila kubwa zaidi ilikuwa kwa kutumia fungi Malaya. Multi-lock ikawa changamoto kwa kina Kaka Jambazi
4. KUIFIKIA BAADHI YA MIKOA ILIBIDI UTOKE NJE YA MDUNDIKO TANZANIA NDIPO UFIKE
Mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mara, Kagera na Mwanza ilikuwa haifikiki kirahisi hata kidogo, ilibidi ukate passport ya muda ili uvuke Kenya na wakati mwingine Uganda ili uweze kwenda huko.
Scandinavia Express walipiga sana hela, pia kulikuwa na kampuni ya Akamba wakitoa huduma hizo.
5. YO!! RAP BONANZA
Miaka hiyo ya tisini mwanzoni kurap ndo ilikuwa mpango mzima kwa wajanja. Chris's Phabby, Ras Pomppy Dou na Wengine wengi waliokwenda kuonyesha umahiri wao
6. KUMBI ZA STAREHE
Zama zile muziki wa dansi ukiwa umeshika hatamu, kumbi zetu zilikuwa Bonga Bar, Lang'ata Social Hall, DDC, Ruvuma Mpaka Maputo, Amana Social Hall.
Disco kwa MBOWE.
7. CODRY NA RABA MTONI, SKIPA NA DENGRIZ
Wajanja walienda Greece kwa kuzamia meli walirudi na suruali zao za codry, dengdriz, skipa na raba mtoni.
Enzi hizo madukani vitu vilikuwa adimu mno.
8. MODEL ZA MAGARI
Zama zile kulikuwa na Datsun, Toyota Staut, Isuzu KB, Pajero ambayo ilikuwa inatajwa Hadi kuwa nantv inayoonyesha majeneza na watu wakienda kuzika pale inapokimbizwa Sana. Kulikuwa na gari inaitwa Morris, kulikuwa na Impala, Scania 111, Bedford, Isuzu NKR, Isuzu TX, Land Rover 109 kidume. Zama zile ilikuwa NI marufuku kwa Range Rover kupaki benki.
Hawajiewibila mabeberu hata sasa tungeishi kama zamani, huwashangaa sana watu weusi wanaowatukana mabeberu
Zimeongeza hamu ya pesa Kwa wanawake🙄🙄🙄Na zikaongeza nguvu za kike!
Ohoo na mzee Rungwe nae?Kweli kabisa, mwingine ni Rungwe oceanic, pale disco la kufa mtu. MzeeHashimu Rungwe. From no where eti ni gaidi
Bujibuji ..@ikarus kumba kumbaMali ya Mzee Towo
Tuliyaona bandarini yakienda Zambia ...mabasi ya ghorofa😀😀😀Nani anakumbuka mabasi ya kisasa yalivyoanza kuingia? Yakawa yanaitwa mabasi ya ghorofa! Maana Carrier zilibadilishwa kutoka juu na kuwa buti! Kwahio mnapanda kwenye ngazi na mizigo inakua chini
🤣🤣🤣🤣🤣VOLVO ndiyo gari iliyokuwa ikiogopwa na polisi, pijo ilikuwa kiboko yao East Africa Safari Rally ikiendeshwa na Shankland.
Kkuna mchezo wa kishetani kabisa tulikua tunacheza unaitwa "TOBO DUNDA', NI WA KIKATILI MNOOOOOKombolela, Ukuti au ule mchezo unaitwa center na ule mpira wa kuzunguka unaitwa sina ukimwi
Huyo ni kingai nini?Acha tu tulitembea na mdundiko kutoka Tandale mpaka Buguruni tuliporudi home tulichezea stiki na mzee mpaka mjumbe aliingilia kati ndo ikawa pona yetu
View attachment 1989651
Ule ni zaidi ya UJEDAKkuna mchezo wa kishetani kabisa tulikua tunacheza unaitwa "TOBO DUNDA', NI WA KIKATILI MNOOOOO
Leyland, randrover, 110 defender, Uvaaji chacha na DHYaani wengi watadhani ni as mulizi tu za Jomba Buji, lakini huku ndiko haswa tulikotoka
1. NGOMA YA MDUNDIKO
Zama zile MDUNDIKO ulipita mtaa kwa mtaa jijini, ni mwendo mpwitompwito, nyimbo, ngoma, matusi, mikatiko, yaani kivumbi na jasho, unatoka kwenu Buguruni unajikuta uko Kawe Mzimuni, na nauli huna.
2. JIWE LA FATUMA
Mmelala ndani mnasikia nje watu wanahesabu, moja, mbili taaaaaaaat. Kabla hawajamaliza kuhesabu mnaliona jiwe kubwa sana love naingia ndani, mlango umesambaratishwa, njemba za miraba minne kama Tisa, mapanga yameremetayo yenye makali kuwili yako standby kusambaratisha nyama za miili yenu, MNA music system wanabeba, TV set inaondoka, cheni na vidani vya dhahabu si Mali yenu tena.
Shukrani kwa Augustino Lyatonga Mrema
3. MAGARI KUFUNGWA KWA MAKUFULI NA MAKOMEO
MULTI LOCK kampuni ya ki Israel iliuza sana makufuli na makomeo ya kulinda magari yasiibwe. Mijitu iliiba magari kwa namna mbalimbali, ila kubwa zaidi ilikuwa kwa kutumia fungi Malaya. Multi-lock ikawa changamoto kwa kina Kaka Jambazi
4. KUIFIKIA BAADHI YA MIKOA ILIBIDI UTOKE NJE YA MDUNDIKO TANZANIA NDIPO UFIKE
Mikoa ya kanda ya ziwa hasa Mara, Kagera na Mwanza ilikuwa haifikiki kirahisi hata kidogo, ilibidi ukate passport ya muda ili uvuke Kenya na wakati mwingine Uganda ili uweze kwenda huko.
Scandinavia Express walipiga sana hela, pia kulikuwa na kampuni ya Akamba wakitoa huduma hizo.
5. YO!! RAP BONANZA
Miaka hiyo ya tisini mwanzoni kurap ndo ilikuwa mpango mzima kwa wajanja. Chris's Phabby, Ras Pomppy Dou na Wengine wengi waliokwenda kuonyesha umahiri wao
6. KUMBI ZA STAREHE
Zama zile muziki wa dansi ukiwa umeshika hatamu, kumbi zetu zilikuwa Bonga Bar, Lang'ata Social Hall, DDC, Ruvuma Mpaka Maputo, Amana Social Hall.
Disco kwa MBOWE.
7. CODRY NA RABA MTONI, SKIPA NA DENGRIZ
Wajanja walienda Greece kwa kuzamia meli walirudi na suruali zao za codry, dengdriz, skipa na raba mtoni.
Enzi hizo madukani vitu vilikuwa adimu mno.
8. MODEL ZA MAGARI
Zama zile kulikuwa na Datsun, Toyota Staut, Isuzu KB, Pajero ambayo ilikuwa inatajwa Hadi kuwa nantv inayoonyesha majeneza na watu wakienda kuzika pale inapokimbizwa Sana. Kulikuwa na gari inaitwa Morris, kulikuwa na Impala, Scania 111, Bedford, Isuzu NKR, Isuzu TX, Land Rover 109 kidume. Zama zile ilikuwa NI marufuku kwa Range Rover kupaki benki.