The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mkuu ulizidiwa sana hadi unalinanilii hilo gogo? Nyie vijana wa zamani bana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulizidiwa sana hadi unalinanilii hilo gogo? Nyie vijana wa zamani bana!
Enzi hizo nasoma Olevel Nakuru Kenya, Alevel Kampala international, Chuo Uganda Christian University-Mukono, what ana amazing 27-29 hours dar-kampala, dsm -Nakuru, ukikosa Scandinavia ukipanda zile za wasomali kampala to nairobi wezi kama wote, hifazi mzigo kwenye buti lasivo upakate mzigo.khaa haya maisha. Banzukulu watanielewa, Dembe FM full vituko. My life in Nakuru what an amazing Kenya was, Thank you a lovely flashback in the making.Dar/ Kampala via Nairobi.View attachment 1989700
Zimeongeza hamu ya pesa Kwa wanawake[emoji849][emoji849][emoji849]
Ohoo na mzee Rungwe nae?
Hahaaa! Na nyegezi pia inakuwa kali!
Nimewahi fika Mukono Christian Un Kwa wiki moja tulikuwa na semina pale.2008. Pazuri nilitaka pia kusomea Masters pale nikakwama Ada Yao sio ya kitoto sikuwa na sponsor nikaishia kusoma OUT. Nakumbuka pale Nje vibanda vya mama ntilie chakula Chao kikuu matoke na chapati maharage.Enzi hizo nasoma Olevel Nakuru Kenya, Alevel Kampala international, Chuo Uganda Christian University-Mukono, what ana amazing 27-29 hours dar-kampala, dsm -Nakuru, ukikosa Scandinavia ukipanda zile za wasomali kampala to nairobi wezi kama wote, hifazi mzigo kwenye buti lasivo upakate mzigo.khaa haya maisha. Banzukulu watanielewa, Dembe FM full vituko. My life in Nakuru what an amazing Kenya was, Thank you a lovely flashback in the making.
Hataree na robo tatu KumbaKumba BAYANKATA
🤣🤣🤣🤣🤣Bujibuji Simba Nyanaume kule Mbeya enzi hiyo majambazi walikuwa wanawaandikia barua kabisa kuwa wiki au siku fulani tunakuja kufanya tukio hatutaki resistance, milango acheni wazi...
Enzi zile za Jombi anasumbua sana mjini...
Umenena ukweli, maana enzi hizo hata kama kwenu pamenuna unaenda kwa jirani kula msosi.Ila mwisho wa siku maisha yalikuwa ni matamu sana ukilinganisha na sasa.
hii kitu unaweka kwenye chupa ya soda basi mbu ni kudondoka tuuu
𝑴𝒃𝒆𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒕𝒖 𝒌𝒖𝒍𝒆 𝑰𝒔𝒂𝒏𝒈𝒂,𝒂𝒍𝒊𝒌𝒖𝒘𝒆𝒑𝒐 𝒎𝒂𝒎𝒂 𝒎𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒋𝒖𝒍𝒊𝒌𝒂𝒏𝒂 𝑴𝒃𝒆𝒚𝒂 𝒏𝒛𝒊𝒎𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒋𝒊𝒏𝒂 𝒍𝒂 𝑴𝑨𝑴𝑨 𝑱𝑶𝑯𝑵, 𝑴𝒓𝒔 𝑴𝒘𝒂𝒌𝒊𝒑𝒖𝒏𝒅𝒂) 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒍𝒐 𝒍𝒂 𝒓𝒂𝒏𝒈𝒊 𝒏𝒚𝒆𝒖𝒔𝒊𝒊𝒊𝒊! 𝑯𝒊𝒚𝒐 𝒊𝒍𝒊𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒎𝒊𝒂𝒌𝒂 𝒚𝒂 70 𝒉𝒖𝒌𝒐!Peogeut 404 hiyo
Chenyanja chibisi ne kaunga, dont forget to put kamulali.Nimewahi fika Mukono Christian Un Kwa wiki moja tulikuwa na semina pale.2008. Pazuri nilitaka pia kusomea Masters pale nikakwama Ada Yao sio ya kitoto sikuwa na sponsor nikaishia kusoma OUT. Nakumbuka pale Nje vibanda vya mama ntilie chakula Chao kikuu matoke na chapati maharage.
Wiki moja Tu nikikaa hakuna kilugha chochote hata kusalimia sikujua.Chenyanja chibisi ne kaunga, dont forget to put kamulali.
Siku moja tulikuwa tunaenda Kampala kutembea ikaja hiece kumbe wenzetu abiria hawasimami wabongo tukachoma ndani kama MTU 7 nafasi ziko 2 walitushangaa konda hajui kimombo anatuongelesha cha kwao tukaona isewe tabu tukashuka wenyeji wakatusanua tuliona aibu.Chenyanja chibisi ne kaunga, dont forget to put kamulali.
Mimi nalikaa muda mrefu kiasi nikaanza kukamata baadhi ya maneno kwenye lugha yao ya luganda.Wiki moja Tu nikikaa hakuna kilugha chochote hata kusalimia sikujua.