Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Yaani watanzania mmeamua kabisa kumpigia wa Ghana? Maana naona kila nikipitia link hiyo asilimia za Rais wa Ghana anazidi kuongeza kura huku za kwetu zikiwa zimesimama na kupungua. Hebu tuwe wazalendo jamani
Nipatie hio link mkuu

Au

Tuambie tugoogle nini vije

Hatuwezi kuacha kumtendea haki Rais wetu
 
Alafu kabla sijapiga kura yangu mnipe jina la Mwenyekiti wa tume yao ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…