wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,343
Kwamba mwamba ni namba mbili hapo juu, daaa ata yeye akiangalia naamin anashangaa sana, namba mbili kwa lipi alilofanya ata tz tu peke yake.Siasa zenu ndizo zinaligawa taifa, jana Magufuli alikuwa anaongoza kwa 95% leo kapitwa hadi trh 8 sijui kama hata 20% anaweza kupata.
Na kadri unavyowajibu watu ndivyo kura zake unazipunguza, mwisho utajilaumu kwanini ulianzisha uzi huu.
View attachment 1666168
Anayestahili kushinda hapo ni mh. NANA AKUFO-ADDO wa Ghana.Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.
Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
[emoji23] [emoji23] nashangaa ata hyo top five aliingiajeKutoka kuongoza 96% hadi sasa 40%View attachment 1666199
Itupie na hku mkuu tuigaragaze hii aibuNimesamba link kweny ma group yangu ya social wote tukiwa na lengo la kumpigia Nana
Kunguru wa ManzeseNimesamba link kweny ma group yangu ya social wote tukiwa na lengo la kumpigia Nana
Itakuwa kwa WiZI kama kawaida ya maccm🙄[emoji23] [emoji23] nashangaa ata hyo top five aliingiaje
Labda Kama hyo taasisi inamilikiwa na ccm, NEC au policcmWatanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo
Rais ambaye utawala wake unachapa watu viboko bila kufikushwa mahakamani hawezi kuwa Rais bora, labda hizo kura muibe.Itatusaidia nini?
Mjinga weweWatanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.
Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Moyo wangu unauma inakuwaje nataka nipige kura nakuta mtandao umeblokiwa daaah aisee hii ilikuwa kura ya Ghana kabisa hata kwa VPN nitapiga kura
Kwa akili ya kawaida unatoboa vipi hapo?Kwa Ghana atutoboi
Jaribu tena mara tatu au nne unafunguka bofya hapo ktk reloadMoyo wangu unauma inakuwaje nataka nipige kura nakuta mtandao umeblokiwa daaah aisee hii ilikuwa kura ya Ghana kabisa hata kwa VPN nitapiga kura