#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Huyo unamjua wewe MATAGA wa lumumba na mwana sukuma gang

Mbwa nyie mnadhan mkipigwa hizo chanjo nini kitabadilika? Hamna akili mnashindwa hata kufikiria vzur, wawatengenezee chanjo nyie mna umuhimu gan kwao?
Wape vidonge vyao hao,wajinga kabisa.Hii mijitu au inalipwa,au imejaza makamasi vichwani mwao.Washenzi kabisa.
 
Sasa mbona hujatoa hoja yeyote ya kupingana na hoja zake? Hayo yote uliyosema ni kweli hatukatai, ila jibu hoja zake basi? Tumpuuze wakati hujapangua hoja yake hata moja, unatuonaje waTz?
 
Ni mbumbu kuhusu swala la C-19 mkuu.Hapo ndipo ujue Watanzania wengi ufahamu wao ni mdogo sana,kwa hiyo ni rahisi sana kuingizw mkenge.Tujipe pole kwa kweli,tutalishwa pumba mpaka tukome.
Mbona tayari unakula pumba kila siku kama kuku wa kizungu anakulisha mtengeneza chanjo?
 
Na mimi ndio nimemwambia hivyo hivyo, tutampuuza vipi mtu ambae umeshindwa kupangua hoja zake hata moja?
 
Mimi ushenzi wangu ni upi,lete hoja.Wewe ushenzi wako ni kutetea ushenzi wa C-19 shot.
Wewe ni mshenzi kwa sababu unatetea mawazo ya kishetani na unaonekana unashiriki mambo ya free mason .

Huna tofauti na lucifa yaani unaombea watanzania wengi wafe kwa corona kwa kukataa chanjo ili upate kafara.
 
Mbona tayari unakula pumba kila siku kama kuku wa kizungu anakulisha mtengeneza chanjo?
Mimi sili kuku wa kizungu,nakula wa kienyeji mkuu,kwa kuwa najua mtengeneza madawa ndie huyo huyo anayetengeneza chanjo zote,hata hii shot ya C-19.
 
Hana akili, tumekubali, ila sasa, jibu hoja zake
 
Mimi sili kuku wa kizungu,nakula wa kienyeji mkuu,kwa kuwa najua mtengeneza madawa ndie huyo huyo anayetengeneza chanjo zote,hata hii shot ya C-19.
Una sifa zote za lucifa
 
Kawe ni jimbo pekee lenye wabunge wawili.
Kiongozi wa Covid19 a.k.a shangazi Halima na mzee wa video za kikubwa Sheikh Askofu Rashid a.k.a mfufuaji.
Hakuna aliyebisha hayo, ila sasa, jibu hoja zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…