Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Wewe CCM inakunyanyasa nini?Ona akii za watanzania! Chadema and Mbowe wametimiza wajibu wao wa kuongoza. Huyu kafungwa mwaka mzima kwa kuonewa, kafilisiwa biashara zake etc etc, Uoga wetu tukubali tunyanyaswe na CCM mpaka hapo Yesu atakaporudi.
Tuweke kumbukumbu sawa, Chadema haina ruzuku!
kama hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu ulimlaumu mbowe endelea kupigika kwenu au kufa lakin sio kumtaja mbowe kwa upunga wako.Tutoke barabarani, kwani na sisi tunapokea ruzuku Kama akina Mbowe!!??
Nipeni ruzuku za Upinzani niingie kitaa muwone the really freedom fighter anavyopambana,liwalo na liwe, siyo Mbowe yeye anachukua ruzuku na kuingiza kwenye biashara zake tu!!Haaa nimecheka sana. Wewe ulishawahi kufungwa hata miezi 6? Una act kama vile una uzoefu na ufungwa?
stop that bullshit man, magereza hapozoeleki.
kumbe bado kuna wapumbavu wanaamin aliomba msamaha, baada ya kesi kubuma hahahaaaaaa ccm ni mapumbavu kabisaNa msamaha katika kesi yake akaomba.
mataga jiandaeni 2025 kukimbia nchi maana mamayenu ataambulia zeroHahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano. Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
mamako alishawahi kufungwa hata mwez akipigania watu, mbowe kaa kimya usihangaikie mapumbavu yenye id fake mitandaonYaani kufungwa Mwaka tu ndiyo Mbowe analialia,!? Mwenzake Madiba alifungwa miaka 27 na alivyotoka akaendeleza mapambano hadi akawa Rais wa Africa kusini, Sasa Mbowe yeye anawaza tu biashara zake hayuko serious kupambania Watanzania kujikombowa!!
Sasa Mkuu Matako yameingiaje hapa!!??kama hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu ulimlaumu mbowe endelea kupigika kwenu au kufa lakin sio kumtaja mbowe kwa upunga wako.
mbowe kaa kimya na tena shikilia hapohapo ili haya mashoga na masagaji ya ccm yapate akili ili siku ukiyambia yaandamane yatoke kuandamana. Yanasema umelamba asali yenyewe mbona yameshindwa kulamba hio asali shikilia hapohapo maana kupambania mapumbavu kama haya yenye id fake ni ujinga yaache yapigike mpaka yatie adabu kama yalivyotia adabu kwenye kesi fake yakaikimbia.Huwezi nilinganisha na msaliti mbowe, gaidi kabisa lililodakwa likasamehewa na DPP tena siku akija rais mwingine lazima lifungwe maisha au kunyongwa kabisa gaidi kubwa. Sasa limelamba asali domo limezibwa kabisa utamu utamu tu wa asali hahahaha.
nasema hivi kama wew hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu wanaume wapiganie haki za walionyonywa na kuteswa nini hujaelewa au neno matako kwako ni msamiati tafta kamusi ya kuswahili inayoitwa TUKI uone maana ya neno matako otherwise you are doomed.Sasa Mkuu Matako yameingiaje hapa!!??
subir kupewa ruzuku kwa sasa endelea kudeki lumumbaNipeni ruzuku za Upinzani niingie kitaa muwone the really freedom fighter anavyopambana,liwalo na liwe, siyo Mbowe yeye anachukua ruzuku na kuingiza kwenye biashara zake tu!!
CCM imewajaza Watanzania uoga kama watu wa North Korea. Hata maisha yawe magumu kiasi gani, watanung'unika lakini watavumilia. Enzi za Nyerere watu walivaa viraka, walilala njaa, walipanga foleni kununua sukari, vitu vingi viliadimika lakini watu walivumilia tu. CCM inajua fika inatawala taifa la waoga.
π―π―π―π―π―π―π―π―π―π― huyo gaidi wenu asali tamu mnombowe kaa kimya na tena shikilia hapohapo ili haya mashoga na masagaji ya ccm yapate akili ili siku ukiyambia yaandamane yatoke kuandamana. Yanasema umelamba asali yenyewe mbona yameshindwa kulamba hio asali shikilia hapohapo maana kupambania mapumbavu kama haya yenye id fake ni ujinga yaache yapigike mpaka yatie adabu kama yalivyotia adabu kwenye kesi fake yakaikimbia.
Mapambano halisi yanaanzia kichwani mwako then yatafika huko kwingine.Wewe unahitaji Elimu ya Uraia ili utambue nini maana ya Nchi.Yaani kufungwa Mwaka tu ndiyo Mbowe analialia,!? Mwenzake Madiba alifungwa miaka 27 na alivyotoka akaendeleza mapambano hadi akawa Rais wa Africa kusini, Sasa Mbowe yeye anawaza tu biashara zake hayuko serious kupambania Watanzania kujikombowa!!
Alikusalitia nini?Huwezi nilinganisha na msaliti mbowe, gaidi kabisa lililodakwa likasamehewa na DPP tena siku akija rais mwingine lazima lifungwe maisha au kunyongwa kabisa gaidi kubwa. Sasa limelamba asali domo limezibwa kabisa utamu utamu tu wa asali hahahaha.
Usiongelee lile bomu la Arusha. Hata CDM sasa weshafahamu kuwa lile bomu walijilipua wenyewe ili serikali iwe unpopular na watu wawe na sympathy kwa CDM. Usishangae matukio mengi wanaanzisha hao hao CDM ili ionekane wanaonewa na serikali. Siku zote hawatoi ushirikiano kwenye uchunguzi wa matukio hayo. Wakati wa Bomu Mbowd alisema ana ushahidi ila atautoa kwa kamati ya majaji. Kushambuliwa kwa Lissu hao hao CDM wanatumia gharama kubwa kumficha dereva wa Lissu huko Ulaya. Kwa mujibu wa Polisi huyo dereva ni shahidi (au suspect) namba waniHahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.
Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
Mbowe ni gaidi tena lilipaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa. Akina lema hawa majambazi, siku si nyingi lema atatimuliwa canada kwa sababu ya wizi wa magariAlikusalitia nini?
Alikugaidia nani?
Magaidi wa kweli kutoka lumunba hamwakamati.
Kuhusu kunyongwa naomba Mungu hiyo dua unayomuombea ikugeukie wewe au mwana familia yako ya karibu.View attachment 2443689
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app