Alikugaidia nani katika nchi yako?Mbowe ni gaidi tena lilipaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa. Akina lema hawa majambazi, siku si nyingi lema atatimuliwa canada kwa sababu ya wizi wa magari
You’ve said it well mkuu. NGO ya mzee mtei inaongozwa na majambazi makubwa. Can you imagine mbowe anapanga mikakati ya kuua viongozi.Usiongelee lile bomu la Arusha. Hata CDM sasa weshafahamu kuwa lile bomu walijilipua wenyewe ili serikali iwe unpopular na watu wawe na sympathy kwa CDM. Usishangae matukio mengi wanaanzisha hao hao CDM ili ionekane wanaonewa na serikali. Siku zote hawatoi ushirikiano kwenye uchunguzi wa matukio hayo. Wakati wa Bomu Mbowd alisema ana ushahidi ila atautoa kwa kamati ya majaji. Kushambuliwa kwa Lissu hao hao CDM wanatumia gharama kubwa kumficha dereva wa Lissu huko Ulaya. Kwa mujibu wa Polisi huyo dereva ni shahidi (au suspect) namba wani
Mbowe ni gaidi alitakiwa kufa kwa kunyongwa, amshukuru Rais Samia.Alikugaidia nani katika nchi yako?
Naomba sana hizo kejeli zenu siku itokezee ziwageuke wenyewe.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Kua mjinga sio sifa.Huwezi nilinganisha na msaliti mbowe, gaidi kabisa lililodakwa likasamehewa na DPP tena siku akija rais mwingine lazima lifungwe maisha au kunyongwa kabisa gaidi kubwa. Sasa limelamba asali domo limezibwa kabisa utamu utamu tu wa asali hahahaha.
Ndiyo udai haki kivyako basiTutoke barabarani, kwani na sisi tunapokea ruzuku Kama akina Mbowe?
Sisi ni mahodari wa kupiga mikwala mitandaoni [emoji1]Watanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Kuwa mfuasi wa gaidi kama mbowe siyo sifa, akija rais mwingine lazime likamatwe na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufaKua mjinga sio sifa.
Nipeni ruzuku za Upinzani niingie kitaa muwone the really freedom fighter anavyopambana,liwalo na liwe, siyo Mbowe yeye anachukua ruzuku na kuingiza kwenye biashara zake tu!!
Usiongelee lile bomu la Arusha. Hata CDM sasa weshafahamu kuwa lile bomu walijilipua wenyewe ili serikali iwe unpopular na watu wawe na sympathy kwa CDM. Usishangae matukio mengi wanaanzisha hao hao CDM ili ionekane wanaonewa na serikali. Siku zote hawatoi ushirikiano kwenye uchunguzi wa matukio hayo. Wakati wa Bomu Mbowd alisema ana ushahidi ila atautoa kwa kamati ya majaji. Kushambuliwa kwa Lissu hao hao CDM wanatumia gharama kubwa kumficha dereva wa Lissu huko Ulaya. Kwa mujibu wa Polisi huyo dereva ni shahidi (au suspect) namba wani
Hopeless creature.Hahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.
Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
Na wwe kweli bado hujakomaa akili,toka lini hao kina Mbowe wakipigania watu zaidi ya kupigania matumbo yao pamoja na familia zao huko Ulaya!!?Kwanza hao kina Mbowe na Lissu Wana roho ngumu asee!!, Kupigania wajinga ni laana, watu wasiozijua haki zao unawezaje kuwapigania ukashinda??.
Mbona una hasira wakati anae lamba Asali ni Mbowe na Lissu! Wanajifanya wanakaa vikao vya maridhiano kumbe wanapenyeza shida zao Rais awapige tuff kwenye Malipo yao ya kimchongo!!mamako alishawahi kufungwa hata mwez akipigania watu, mbowe kaa kimya usihangaikie mapumbavu yenye id fake mitandaon
Mpinzani wa kweli ni Bashiru,Mbowe ni mfanyabiashara tu, stuka wwe Kolongwe unapigwa mchana kweupe!!mbowe kaa kimya na tena shikilia hapohapo ili haya mashoga na masagaji ya ccm yapate akili ili siku ukiyambia yaandamane yatoke kuandamana. Yanasema umelamba asali yenyewe mbona yameshindwa kulamba hio asali shikilia hapohapo maana kupambania mapumbavu kama haya yenye id fake ni ujinga yaache yapigike mpaka yatie adabu kama yalivyotia adabu kwenye kesi fake yakaikimbia.
Hakuna democracy, hili ndiyo nguzo ya unyanyasajiWewe CCM inakunyanyasa nini?
Weka identity yako ya NIDA hapa tuanzeMnaotaka kuandamana kwa nini msianze nyie.. jikusanyeni muanze nyie acheni kuleta mada hapa jf..
And CCM is banking /taking advantage of such foolskumbe bado kuna wapumbavu wanaamin aliomba msamaha, baada ya kesi kubuma hahahaaaaaa ccm ni mapumbavu kabisa
Yaani ukae tu haya ya mapambano huyaweziSasa Mkuu Matako yameingiaje hapa!!??
Utanyongwa wewe na ukoo wako na Mungu wa Haki. We Mungu tenda!Mbowe ni gaidi alitakiwa kufa kwa kunyongwa, amshukuru Rais Samia.