mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kumbe bado kuna wapumbavu wanaamin aliomba msamaha, baada ya kesi kubuma hahahaaaaaa ccm ni mapumbavu kabisa
Alikugaidia nani??Mbowe ni gaidi alitakiwa kufa kwa kunyongwa, amshukuru Rais Samia.
Kuna mtu alipandikiza uzuzu kwa Watanzania, uoga wa mpaka kuogopa vivuli vyao ndio maana katatizo kidogo ni kukimbulia JF kulalama, hakuna hata push back [emoji774] yeyote
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Viongozi lazima wawe front kuongoza kwa mfano ,nini maana ya kuwachagua viongozo ni lazima watuwakilishe nyakati zote wakati mbaya na mzuri...wewe ilaumu serikali yako kumtia mbowe ndani na sio kutulaumu raia kutoandamana barabaraniWatanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Hatoki mtu hapa. Wao wameficha familia zao ughaibuni halafu unataka sisi tutoke kwenda kufa? Tunamfia nani? Waje wao na familia zao ili tufe wote. Mimi niendo kwa rodi nikafe, familia yangu ibaki ikihangaika wakati wao wako mafichoni, na familia zao ziko marekani?Hakuna mtu wa kukubali ujinga wa hivyo, kama ni maisha wote tunayapenda.Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!Viongozi lazima wawe front kuongoza kwa mfano ,nini maana ya kuwachagua viongozo ni lazima watuwakilishe nyakati zote wakati mbaya na mzuri...wewe ilaumu serikali yako kumtia mbowe ndani na sio kutulaumu raia kutoandamana barabarani
MkuuTunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Sikuwahi kugundua mkongwe mwenzangu kwako kilichoongezeka ni umri tu na hakuna kingineMbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
Kama ameshindwa apishe kwenye uenyekiti ila ni taasisi ya umma imejengwa Kwa damu na jasho la watanzania....apishe wenginekama hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu ulimlaumu mbowe endelea kupigika kwenu au kufa lakin sio kumtaja mbowe kwa upunga wako.
Endelea kujidanganya wakati wenzako wanapiga helaKwanza hao kina Mbowe na Lissu Wana roho ngumu asee!!, Kupigania wajinga ni laana, watu wasiozijua haki zao unawezaje kuwapigania ukashinda??.
Wana laana ya Dr. Slaa na JPM wasipotubu hawatakubalika tenaViongozi wa chadema ni wapumbavu sana ,wanahamasisha maandamano Tanzania huku watoto wao wamewaficha Marekani.
Huko Ni mbali mkuu,ajitokeze mmja akasotee jela Kama Mbowe ili atoe mfano maana kutaja mifano ya kina Mandela afu umejificha kwenye key board Ni upumbavu..Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi a Magufuli/ Basiruand many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Wakati ukifika yote yatafanyikaWatanzania domo kaya, hatuna ujasiri wowote. Mbowe kama kiongozi wa chama kafungwa karibia mwaka mzima, hakufurukuta wala kuandamana atolewe, sote tuliufyata, Lissu kadhalika alipigwa risasi 16, lipi tulifanya. Tuna maneno mengi, kutukana ovyo na kuwashushia lawama wengine
Na ukimuangalia Mbowe mwili haujarudi Bora na Lisu ka recoverHaaa nimecheka sana. Wewe ulishawahi kufungwa hata miezi 6? Una act kama vile una uzoefu na ufungwa?
stop that bullshit man, magereza hapozoeleki.
Back from History Hadi tunapata Uhuru plus ujamaa..CCM imewajaza Watanzania uoga kama watu wa North Korea. Hata maisha yawe magumu kiasi gani, watanung'unika lakini watavumilia. Enzi za Nyerere watu walivaa viraka, walilala njaa, walipanga foleni kununua sukari, vitu vingi viliadimika lakini watu walivumilia tu. CCM inajua fika inatawala taifa la waoga.
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
Hatoki mtu hapa. Wao wameficha familia zao ughaibuni halafu unataka sisi tutoke kwenda kufa? Tunamfia nani? Waje wao na familia zao ili tufe wote. Mimi niendo kwa rodi nikafe, familia yangu ibaki ikihangaika wakati wao wako mafichoni, na familia zao ziko marekani?Hakuna mtu wa kukubali ujinga wa hivyo, kama ni maisha wote tunayapenda.