masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #101
Eeeeeeomiio....ana edit picha yule ni kibonge mmoja....kanenepa na ana asili ya unene yule ....acha picha za insta yule laivu hayupo vile..Nandy
😂 Kumbe ni chibongeEeeeeeomiio....ana edit picha yule ni kibonge mmoja....kanenepa na ana asili ya unene yule ....acha picha za insta yule laivu hayupo vile..
Hivi mbona hulali unachunga vibaka wasipite tena
Acha kabisa ukizaa ukaweza maintain mwili....maisha umeyapatia😂 Kumbe ni chibonge
Nalala sio Mimi nilieibiwa
Mke wangu mtarajiwa kazi anayo ya kumaintainAcha kabisa ukizaa ukaweza maintain mwili....maisha umeyapatia
Muache anyonyeshe kwanza akimaliza ndo muoongee hili swala hahaha bila hivyo labda kwa maonbiMke wangu mtarajiwa kazi anayo ya kumaintain
Its a process dada it can't be taught on comments and i don't think I'm on a master level to teach the way but only tips to find your own fingerprints.Mkuu tupe shule...jamani
To be honest...Its a process dada it can't be taught on comments and i don't think I'm on a master level to teach the way but only tips to find your own fingerprints.
Once i was on the edge where i only have two choice live or perish, addictions, poor lifestyle and all the stuffs.
I chose life by changing my lifestyle nlikuwa na slogan moja kila nnapokula ugali mkubwa na nyama yoyote lazima konyagi au k vant ihusike baada ya hapo, ndo nikaamua kuutrick ubongo no more meats,
Niliresearch kuhusu haya mambo ya health diet vegeterian lifestyle and so forth ukienda youtubes kuna elimu ya kutosha, books are all over the internet. It was a slowly process, obstacles here and there but once you are on track you'll be ignited.
Kusema ukweli ni process inahitaji kujitoa japo pia unaweza ukala nyama na milo ya kawaida ila ukahusisha fruits and vegetables kwa wingi intermittently plus moderate exercise (don't exhaust your self, you can walk 10000 steps a day and be surprised with the result) na utakawa vyema healthier than ever.
Because research need a lot of time unless you find a specialized healer on holistic food, the vegeterians to show you the way.
Yap better do something than nothingTo be honest...
Nipo vibaya kimwili....japo nimeanza kupungua lakini hii coment imenipa kitu...
Am willing to do anything
sawa vegan goodluckIm vegan bro no dead meat in my body and im healthy no hospital no nothing, plus i was alcoholic addict and i bit the hell out out of it just by turning to a vegan
Epuka pia kupanda bodaboda na bajaji pia ukiwa unavuka barabara fuata sheria zote ulizofundishwa ukiwa shule ya msingi. Inauma sana kujinyima vitu vitamu vyote halafu kwa ajali ya bodaboda.Naamka saa 11, karibu na kwangu kuna kilima, napandisha na kushuka mara 2.... Napiga pushup 20, squatting kama 10 kwa kila aina ya squatting na kuruka kamba 100...
Nimeacha soda na sukari na vileo vyote situmii.. ila sina ratiba ya msosi, chchte na kula ila kisiwe na mafuta mengi na sukari ...
Ila sina kilo nyingii, kuna kipind nilianza kuhisi kunenepa..
Hajari haina kinga dada.... Unaweza usife kwa ajali, ukafa kwa malaria....Epuka pia kupanda bodaboda na bajaji pia ukiwa unavuka barabara fuata sheria zote ulizofundishwa ukiwa shule ya msingi. Inauma sana kujinyima vitu vitamu vyote halafu kwa ajali ya bodaboda.
Sijui itakuwaje asipopenda mazoeziMuache anyonyeshe kwanza akimaliza ndo muoongee hili swala hahaha bila hivyo labda kwa maonbi
Mtu anaweza kudhani ni masihara ila hii ni kweli kabisaUnapatikana wapi nikupe kampani?
Mazoezi bila ya nidhamu na kuwa na mtu wa kukupush ni KAZI bure.
Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.
Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.
Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.
Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.
Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa😂😂
Mimi sio dada. Hilo jina lisome vizuri utaelewa maana yake.Hajari haina kinga dada.... Unaweza usife kwa ajali, ukafa kwa malaria....
Wakuu hizi mambo za kupangilia chakula ni kwa wenye nazo ila wengi wetu tunakula tu kuzuia misiba.Ondoa sukari (hasa added sugar) kwenye mlo wako (chai, soda aina zote, juisi hata za kutengeneza nyumbani zenye sukari ya kuongeza, ice cream n.k)
pia punguza wanga (haimaanishi usile kabisa ila punguza) mfano usio mzuri ni ile asubuhi chai na chapati, mchana ugali nyama, usiku wali maharage hapo unaona wanga imetawala mwanzo mwisho.
Kwenye mazoezi sasa anza na jogging nyepesi, kuruka kamba na mazoezi ya viungo kadri muda unavyoenda utaongeza tu na mengine ila usifanye peke yako, kuwa na mtu ambae ataku-push pale unapojihisi kuchoka na umetoka kwenye comfort zone yako hapo ndio mazoezi yatakuingia
Mimi sipendi mazoezi ila nimefikia Ile steji ya no way out. Chakula kama chakula kufanya diet au kula michemsho siwezi wenzangu.
Maana kunywa sinywi, club sipendi, starehe yangu ni masotojo tu. Sasa mwili unapoelekea Kwa kweli sio pazuri.
Hii ni wiki ya tatu mfululizo ila napiga ya nyumbani mbio kuzunguka uwanja.
Sit-up sijui ya kukata tumbo. Binafsi naona mwili umeanza kuwa mwepesi.
Naomba kwa wanaofanya mazoezi tupeane ABC please. Vyakula vya kula. Mazoezi ya kufanya na pia tutiane moyo. Binafsi nataka niwe na mwili kama wa Gabu union au tiwa savage nikifikisha 40 bila surgery maana najiona kabisa siwezi kuoitolerate hiyo surgery.
Najilainisha kwanza kabla sijaanza kwenda gym wasije wakanitoa roho bure ma treinaaaa😂😂