Tanzania wajinga ni wengi mno. Mimi siwezi kuabudu ,kutukuza au kumdifia binadamu wenzangu hata awe na nini, Hiyo nimekataaKuendelea na nini?Si umeshamwambia aje achukue kura?Sasa unataka utujazie server kwa lipi?
Nways nauona mwendelezo wa kuabudu,weka namba ya simu!
Sijamaliza kutaja mafanikio ya JPM, kwa mfano, Meli sijataja, kubadilisha Dodoma bado, Musoma nimeona traffic lights haijawahi kuonekana. Unaona!!!.Lazima nirudiKuendelea na nini?Si umeshamwambia aje achukue kura?Sasa unataka utujazie server kwa lipi?
Nways nauona mwendelezo wa kuabudu,weka namba ya simu!
MubasharaView attachment 1319778
dodge
Unaumia kusikia mafanikio ya JPM??, Relax mkuu, bado Sana, mengine yanakuja
Haina mahusiano na mafanikio ya JPM
Kunywa maji upunguze stress!Kwa taarifa yako JPM haitaji kikura chako ki1...tena cha kinafiki mno na masimango
eti unajikomba kajenga ma-flyover kama ya Japan,Dubai na USA
mara maUbungo exchange ya hatariii
*weka na namba ya simu,maana atakupigia ukamwonyeshe hizo flyover za Dubai na exchange za hatari zilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si umeshataja?Hizi dawa ni kuwachongea kwa mods hizi nyuzi ziunganishwe!Ngoja nianze!Sijamaliza kutaja mafanikio ya JPM, kwa mfano, Meli sijataja, kubadilisha Dodoma bado, Musoma nimeona traffic lights haijawahi kuonekana. Unaona!!!.Lazima nirudi
Ahsante, tukubaliane tu kwamba JPM ni noumer, habari za namba achana nayoKwa taarifa yako JPM haitaji kikura chako ki1...tena cha kinafiki mno na masimango
eti unajikomba kajenga ma-flyover kama ya Japan,Dubai na USA
mara maUbungo exchange ya hatariii
*weka na namba ya simu,maana atakupigia ukamwonyeshe hizo flyover za Dubai na exchange za hatari zilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko vizuri. Itunze tu hiyo kura! Oktoba, 2020 sio mbali. Ukichukulia kuwa Wapinzani watasusia uchaguzi, 1000% Rais, Wabunge na Madiwani ni kwa CCM tu!Sijamaliza kutaja mafanikio ya JPM, kwa mfano, Meli sijataja, kubadilisha Dodoma bado, Musoma nimeona traffic lights haijawahi kuonekana. Unaona!!!.Lazima nirudi
Eti utuchongee kwa modes, ok, endelea kama unaumiaSasa si umeshataja?Hizi dawa ni kuwachongea kwa mods hizi nyuzi ziunganishwe!Ngoja nianze!
Huu uzi naona naupa uhai bure,ngoja nikae kando najua baada ya dk 20 unakuwa umekufa!Eti utuchongee kwa modes, ok, endelea kama unaumia
Hahaha, kwa hiyo, wewe ndio ugawa uhai???Huu uzi naona naupa uhai bure,ngoja nikae kando najua baada ya dk 20 unakuwa umekufa!
Sina tabia ya kuabudu lakini pia sipendi kulaani, daima nasimamia ukweli. JPM ni noumer!!!