Tunaomaliza mwaka bila sex wala mahusiano tujuane

Ngoja tujipongeze mwaka unaisha hivihivi kama utani ujawahi fumania naniliu hata mara moja wala kuwa kwenye mahusiano

Natumai mwakani kutanoga zaidi kwetu Neema itatuangazia [emoji17][emoji4]
Unapata faida gn au una matatizo ya sirini?

Mwanume timamu hawezi leta hii mada hapa maana ataonekana mjinga.
 
Nadhani faida ya MAHUSIANO sio ngono tu, Je hujisikii mpweke kuwa single hakuna mtu anayekupa attention kutwa nzima.
 
Mara zote sisi ma houseboy wa mawaziri ndio huwa tunawabikiri mabinti zao, na wazee wakienda Dodoma au ziara nyingine pia humfariji mama.
Nitakupa tender care usijali.
Ndimi houseboy wa Taifa
Mwigulu is Typing....[emoji23]
Majaliwa is Typing....
Nape is Typing......

Kijana tangulia kusiko julikana team ya kukubana izo kengere inakufuata si muda mrefu...kumbe ni wewe ndie unaekula wake wa waheshimiwa hee?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani wanaonaga kama sex sijui ndo nini yani, mbona fresh tu tena ukikaa zaidi ndio unakua hutamani hata kuguswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…